Elections 2015 Huyu siyo Edward Lowassa ninayemfahamu kabla ya kujiuzulu 2008!

Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!

Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.

Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.

Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.

Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.

Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.

Lowassa wa zamani ameenda wapi?

Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?

Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!


Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!


Atakua kalishwa sumu ya kummaliza polepole na kitengo
 
Last edited by a moderator:
Chadema wanafurahia posho na lile fungu warakalopata baada ya uchaguzi maana wanaweza kupata wabunge wengi na kupata kura zaidi zitakazowaongezea viti maalum ila kwenda Ikulu kwa nguvu za umma sio rahisi...maana hizi nguvu za umma hazikushawishiwa kujiandikisha...uko mikoani
Na hilo fungu ndilo litafanya tumjue mangi mbowe ni mtu gani. Subiri muda ufike.
 
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!

Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.

Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.

Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.

Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.

Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.

Lowassa wa zamani ameenda wapi?

Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?

Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!


Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!


mkumbuke hata jk mlisema mgonjwa
 
Last edited by a moderator:
Kwanza uliza umri je umri wa lowasa ww unaweza kuufikia je hayo maji ya Lita ngapiy mpka mtu ashindwe kubeba chupa ya MAJI ata ww uwezi kunywa maji ya Lita moja na nusu bila ya kupumzika
 
Hizo tumeziskia muda mrefu sana, wanannchi wamechuja na kuona hakuna hoja katika hilo zaidi ya kuwa ni ujing.a na upu.mbavu..... Wananchi washaamua kwe nda na Lowassa... Hayo mengine Mungu ndio anajua
 
Anaeumwa leo aweza kuwa mzima kesho na alie mzima leo aweza kuwa mgonjwa kesho si vyema kuzungumzia afya ya mtu kwa kejeli as if wewe una health waranty.Tujadili hoja mambo ya afya ni siri yake na Mungu wake vivyo hivyo kwa kila binadamu
 
Binafsi nilishafanya maamuzi muda mrefu, kura ya urais kwa Magufuli, wabunge ndio bado sijafanya maamuzi.
 
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!

Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.

Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.

Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.

Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.

Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.

Lowassa wa zamani ameenda wapi?

Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?

Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!


Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!


Lowasa wa sasa akili ilishapigwa na stroke ubongo umemegeka. Sehemu ya ubongo ya kumbukumbu imeaathirika, muoneeni huruma tu mzee wa watu. Kapewa kazi ambayo ipo juu ya uwezo wake lakini yote hii ni tamaa ya madaraka tu na uroho wa kuraka kujilimbikizia mali yeye na marafiki zake. Hakuna kingine. Kwa sababu kwa ugonjwa wake am sure hata ushauri wa madaktari haumruhusu kushughulika na mambo makubwa kama haya maana yanaweza kumfupishia maisha. Ngoja tuone
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom