Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
umemsahau na yule sitowaangusha,kikwete hoyeeeeee
Ufisadi umemfanya akatishe ndoto zakeNimeangalia hiyo video nimepata uchungu sana,huyu ndio alitakiwa awe Waziri mkuu toka kitambo hawa akina Pinda ni.kulia lia tu hawana maono ya Mbali
Lowasa wa zamani hakutopea kwa ufisadi ila Lowasa wa sasa ufisadi ndo mtaji wake wa kisiasa
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
mtahama nchi mwakani hahahahaha
Na hilo fungu ndilo litafanya tumjue mangi mbowe ni mtu gani. Subiri muda ufike.Chadema wanafurahia posho na lile fungu warakalopata baada ya uchaguzi maana wanaweza kupata wabunge wengi na kupata kura zaidi zitakazowaongezea viti maalum ila kwenda Ikulu kwa nguvu za umma sio rahisi...maana hizi nguvu za umma hazikushawishiwa kujiandikisha...uko mikoani
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!
we, waambie chama chako wasiondoe majina uone kazi. watu tumelala vituoni halafu unasema hatujajiandikisha? ndoroobo wewemaana hizi nguvu za umma hazikushawishiwa kujiandikisha...uko mikoani
Ufisadi umemfanya akatishe ndoto zake
Nimejaribu kujiuliza sana na ninashindwa kupata jibu!
Lowassa ninayemuona na kumsikiliza kwa sasa sio yule ambaye alikuwa akiongea anakuvuta katika hisia kumsikiliza.
Lowassa wa zamani alikuwa anaweza kutembea kwa miguu kwa muda mrefu bila kuchoka katika Jiji la Dar-es-salaam kukagua usafi wa mazingira.
Lowassa wa sasa anatafuta kwa shida hata maneno ya kuongea na akiongea hawezi kupangilia maneno yake achilia mbali sauti iliyofifia.
Lowassa wa sasa hawezi hata kutembea vizuri achilia mbali kusimama kwa muda mrefu.
Lowassa wa sasa hawezi hata kubeba chupa ya maji ya kunywa kwa muda mrefu bila kuhitaji msaada.
Lowassa wa zamani ameenda wapi?
Nini kimemtokea Lowassa wa sasa?
Ninamtafuta Lowassa wa kuanzia mwaka wa 2008 kurudi nyuma!
Huyu ndiye Lowassa niliyekuwa ninamfahamu ambaye alikuwa ni mahili katika art of communicating!