Ninachukua fursa hii kumshukuru sana Mungu kwa kutuwezesha leo tarehe 19/8 tumetimiza miaka 15 ya ndoa yetu. Tumebarikiwa kupata watoto 5. Tumepitia misukosuko na dhoruba nyingi sana lakin ni jambo la kumshukuru Mungu mpaka leo bado tupo pamoja. Katika miaka hii kumi na tano nimejifunza kuwa...
Sio kweli mnawaonea majirani zangu,hizi ni simulizi zilizokuwepo tangu zamani lakini hazina ukweli wowote,wanoongoza kwa kuwauwa wanaume wanajulikana.zile nyumba za kariakoo zinamilikiwa na wanawake ambao ni kabila gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.