Wana JF wenzangu leo tarehe 09.12 ndo nasherekea siku yangu ya kuzaliwa nikiwa nimetimiza miaka 42. Namshukuru MUNGU kwa kuniwezesha kutimiza umri huu nikiwa na afya njema.
Naweza kusema kwamba leo ndio sikukuu yako ya mwaka mpya wa 42 tokea umeanza kuliona jua na natumai utakuwa umemshukuru Mungu kwa kukufikisha hapo. Mungu akuongeze maarifa na upendo na hatimaye uishi hadi siku ulizopangiwa hapa duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.