Happy birthday mkuu!!
Mungu akujalie afya njema, neema, upendo, amani na zaidi aendelee kukupa HEKIMA.
hili ni jembe la JF //ubarikiwe
Sasa mwenyewe yuko wapi jamani? KAtavi kajileta hapa anataka akabdhiwe zawadi za Nguruvi3, zitakua salama kweli? Ukute hata sio birthday yake, ni utapeli wa Katavi tu...