Recent content by johnemanuel

  1. J

    Nahisi sikufanya maamuzi sahihi, ukiwa na umri mkubwa familia ndio faraja pekee

    Mimi ni mdau mmojawapo ambaye mke wangu ametangulia mbele ya haki kama miaka minne iliyopita. Watoto wawili was kike wameolewa amebaki wa kiume. Hata hivyo wangu Sasa ni 56 nimeshindwa kabisa kufanya uamuzi wa kuoa sijui mnanishaurije wana Jf. Naona hali ni mbaya ila kila mwanamke ninayetaka...
  2. J

    Changamoto mnazozipata mlioa au kuolewa na wenza wenye watoto

    Ni shida sana Hii inahitaji tu uwepo was Mungu Nina uzoefu wa jambo hili aslani hutaheshimika kama baba
  3. J

    Kumbe vyeti feki ni kupunguza wafanyakazi serikali haina pesa, vingine mbwembwe

    Uchumi wa Viwanda unahitaji the Public Wage bill to be less than 40% of overall Annual Budget. However Tanzanian Public Wage bill tunes to 75% - 80% this alarming. Ni kinyume kabisa na Uchumi wa Viwanda apparently the private sector which was only hope in absorbing access employment has totally...
  4. J

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Itakuwaje umfundishe MTU mbinu za hatari kama utengenezaji wa mabomu upiganaji na mbinu nyingine halafu umtumbue bila taratibu na umuache mtaani. Huoni itakuwa hatari kwa usalama wetu? Hii ndicho kigezo kilichofanya Polisi na Wanajeshi wasikaguliwe. Kama ni uzembe ulifanyika huko nyuma na hakuna...
  5. J

    Rais Magufuli: Mkijaribu kumfukuza Mkurugenzi wangu nitalivunja baraza la madiwani

    Safii sana kama hujafanya kazi Serikali za Mitaa huwezi kujua kadhia ya Diwani. Kwa hili Rais amesema kweli nampongeza
  6. J

    Evarist Chahali: Urafiki wetu na RWANDA ni wa mashaka

    Ninauliza Swali moja LA Msingi Je? Kagame anaweza kuhusika moja kwa moja na Mauaji ya Mchungaji Mtikila? Nakuwa na Mashaka kuwa yaweza kuwa hivyo kutokana na facts alizotoa na kuzisambaza Duniani.
  7. J

    Rais, Wakazi wa Kilimanjaro tumekukosea nini? Kwanini tukuombe radhi?

    Bado kinyongo ni kikubwa jiandaeni na kutumbuliwa pia nafasi za Uteuzi kwenu ng'o!!!!
  8. J

    Hivi hii hali ni ya kawaida?

    Fanya maombi ya nguvu hali hiyo si ya kawaida kabisa
  9. J

    Maoni yangu kuhusu "vita" kati ya Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Kwa ujumla ni wazi kabisa kuwa North Korea ana mikwara tu ila Kamwe hawezi kufanya lolote kwa Marekani.
  10. J

    CHAPTER ONE: Ewe Mwanadamu amka.! Acha Kushupaza Shingo,Mungu yupo,na Siku ya hukumu ipo.!

    Binadamu wengi wametingwa na mahangaiko na shughuli za kila siku amazo zimefanya wasilisome neno LA Mungu. Imeandikwa na narejea "Watu wangu wanakufa kwa kokosa maarifa" wanakosa maarifa kwa sababu hawalisomi neno LA Mungu. Ni vigumu sana kwa kizazi hiki kusoma Uzi huu ambao ni mrefu kiasi...
Back
Top Bottom