Pole mkuu lakini napenda nikupe moyo tu kuwa ni swala la muda tu utampata aliye sahihi kwa wakati wake.Kuwa mwaminifu tu mbele za Mungu upweke na mengine yote yatakwisha.Pole sana mkuu,I can wear ur shoes mzee,mim sijafika uo umri lakin swala LA upweke linanikandamiza mbaya najitaid kufanya kazi lakin jion narudi home,..no one there to say something special to,...inauma sana ila maisha yamebadilika mengine inabidi tuyaache yapite,..ila maisha ya mapenzi yamebadilika sana,..hasa uku kwetu mjini,..MTU unakua unashtuka shtuka tu,