Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Sasa ndo uniumize mwenzako jamani!!! Unajua jinsi nilivyo na moyo mwepesiMmhh! Usilie nakutengenezea wivu Paprika wangu ili mapenzi yetu yawe motomoto siku zote.
Sasa ndo uniumize mwenzako jamani!!! Unajua jinsi nilivyo na moyo mwepesiMmhh! Usilie nakutengenezea wivu Paprika wangu ili mapenzi yetu yawe motomoto siku zote.
Binadam tuko programmed hayo waga hutokea kiakili maana ni mafile huingiliana kichwanWakuu, kuna hali inanitokea sana mpaka najikuta najishangaa 2,labda mimi mtu wa ajabu au vp.. Yani naweza fanya jambo alafu nastuka kwamba nilishafanya hivyo ila sikumbuki mda gani ila nakuwa na uhakika kabisa kwamba nilishafanya tena vile vile bila kukosea step..
Mfano naweza pita njia flani na kukutana na watu alafu hapo hapo picha inajirudia kichwani kwamba nilishapita hapo na kukutana na watu hao hao.. Hivi hii hali wakuu ni ya kawaida au kuna namna?
Nakutania my dia.Sasa ndo uniumize mwenzako jamani!!! Unajua jinsi nilivyo na moyo mwepesi
My dia nimepita makutano junction(pm) nikakuta umefunga gate/mlango mpenzi wangu kulikoni??[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Sasa ndo uniumize mwenzako jamani!!! Unajua jinsi nilivyo na moyo mwepesi
Pako wazi banaMy dia nimepita makutano junction(pm) nikakuta umefunga gate/mlango mpenzi wangu kulikoni??[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Nime attempt several times kitasa kikagoma..!Pako wazi bana
Sijui tatizoNime attempt several times kitasa kikagoma..!
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji27] [emoji27]
Now it's working..[emoji3]Sijui tatizo
Duuh tupo wengi kumbe....nilishawahi kwenda mahali ambapo sijawah kufka toka nizaliwe lkn nlipokuwa pale nikahis na kuona kabsa haya mazingira sio mapya,kama nilishayaona kabla.Pia kuna mda unakuta napiga stori na washkaj lkn jinc wanavyonijib na nnavyoongea naona kama ni stor inayojirudia kwani ni kama tulishazungumza kabla lkn kiuhalisia sioWakuu, kuna hali inanitokea sana mpaka najikuta najishangaa 2,labda mimi mtu wa ajabu au vp.. Yani naweza fanya jambo alafu nastuka kwamba nilishafanya hivyo ila sikumbuki mda gani ila nakuwa na uhakika kabisa kwamba nilishafanya tena vile vile bila kukosea step..
Mfano naweza pita njia flani na kukutana na watu alafu hapo hapo picha inajirudia kichwani kwamba nilishapita hapo na kukutana na watu hao hao.. Hivi hii hali wakuu ni ya kawaida au kuna namna?
Hujaelewa kabisa hali tunayoiongelea hapa, soma tena post ya mtoa madaUkiangalia mental disorders kuna tatizo linalojuliana kama schizophrenia ambapo huwa tunagawanya symptoms zake katika makundi matatu;
1.Positive symptoms
-Delusions
-Hallucinations
-combativeness
-Insomnia
2.Negative symtoms
-Asocial behaviour
-Apathy
-Alogia
Anhedonia
-Affective flattening
3.Disorganised symptoms
-disoganised speech
-disorganised behaviour
-poor attention
Hallucinations ambayo ni moja kati ya positive symptoms za schizophrenia is a sensory experience of something that does not exist outside the mind....unaweza ukaona taswira, au ukasikia sauti au ukahisi harufu au hata ukahisi kuguswa na kitu lakini kiuhalisia hakuna taswira wala sauti wala harufu au wala hakuna kitu kilichokugusa.
Sisemi una schizophrenia mkuu ila nimeanzia mbali kidogo ili nifike hapo kwenye hallucinations ambapo naona kidogo kama panarelate na unachokiuliza, sio kila anaepata hallucinations ana schizophrenia,kupata kama mtu ana schizophrenia hutegemea kuangalia na symptoms nyingine na pia zinadumu kwa muda gani na zinamuathiri vipi mhusika katika social life na kikazi.
-
Thanks mkuuHujaelewa kabisa hali tunayoiongelea hapa, soma tena post ya mtoa mada
Hamna namna yoyote mbona hata hii post ulishawahi I post humu na majibu uliyopata ndio hayahaya, sasa unajifanya hukumbuki au kuna namna?Wakuu, kuna hali inanitokea sana mpaka najikuta najishangaa 2,labda mimi mtu wa ajabu au vp.. Yani naweza fanya jambo alafu nastuka kwamba nilishafanya hivyo ila sikumbuki mda gani ila nakuwa na uhakika kabisa kwamba nilishafanya tena vile vile bila kukosea step..
Mfano naweza pita njia flani na kukutana na watu alafu hapo hapo picha inajirudia kichwani kwamba nilishapita hapo na kukutana na watu hao hao.. Hivi hii hali wakuu ni ya kawaida au kuna namna?