Wafuasi wa Mbowe,Lowassa na 'Chadema' wanavyomtetea Manji kwa hali na mali

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ajizi nyumba ya njaa, nayakumbuka maneno ya Dr.Slaa Sep, 01 2015 pale Serena wakati akielezea sababu za kuondoka Chadema, alitoa neno moja zito kwamba 'siasa ni sayansi'. Wengi walimpiga vita badala ya kutafakari.

Baada ya mfanyabiashara na diwani wa Mbagala kupitia CCM ndugu manji kuingia hatiani katika masakata mbali mbali ambayo kimsingi wabunge wa Chadema ndiyo walikuwa wakiyaibua huku wakilalamika kwanini serikali haichukui hatua. Kwa kifupi kuna hoja hizi nne,
  • Mosi ni ile kasha ya maji kununua kwa bei ndogo kiwanja cha NSSF na kuwauzia NSSF kwa bei ya 'kutupwa' baada ya muda mfupi,
  • Pili ni jinsi manji alivyotaka kujimilikisha jengo la PSPF lililopo Nyerere Rd. kiujanja ujanja na
  • Tatu ni kutaka kumiliki ufukwe wa Coco kwa njia zisizo halali na
  • Nne ni kugombea udiwani kupitia CCM ili aukwae u-Meya na kisha kujimilikisha baadhi ya ardhi za kimkakati jijini DSM kiasa cha baadhi ya watu kulalamika pengine atakuwa ni meya wa kwanza asiyejua kiswahili fasaha.
Hoja hizo hapo juu na nyingine nyingi ni nzito na ni ukiukwaji wa maadili, siku za karibuni baada ya serikali kushughulikia ukiukwaji huo wa sheria na kurudisha mali za serikali na zaidi kuwaadhibu wana-CCm waliotumia CCM kudhulumu wananchi na serikali Viongozi na wafuasi wa Chadema wameibuka mitandaoni na hoja zifutazo;
  • Eti vitendo bya serikali kurudisha ufukwe wa Coco,jengo la PSPF vimeongozwa na chuki na kukomoana.
  • Eti, Manji ni mwema sana, ila anaadhibiwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowassa,
  • Eti, Manji anaonewa sababu alikataa kuchangia kampeni za JPM
  • Eti, Serikali inawaonea matajiri na haitaki wafanyabiashara
  • Eti, hata Sethi na Ruge wa IPTL wanaonewa tu serikali iache uonevu ili wawekezaji waendelee kuwa na imani na mazingira ya uwekezaji.
Baada ya kufuatilia mijadala na michango ya wafuasi wa Mbowe na Lowassa, nimesema wafuasi wa Mbowe na Lowassa kwa sababu sitaki kuamini kama ni wafuasi wa Chadema niliyoijua. Nimegundua mambo mawili, mosi wengi wa wafuasi hawa wa Mbowe na Lowassa ni wachanga kiumri, hwajui walitendalo na walio na umri mkubwa wanalipwa pesa nyingi ili kujitoa ufahamu.

Kumbe yeyote anayekiuka maadili, mbadhirifu ni mfuasi wa Lowassa.
 
Leo tarehe 20/05/2016, muda wa saa sita na nusu mchana, mstahiki meya manispaa ya Kinondoni,ataongoza Jopo la wanasheria wa Manispaa na mawakiliwaliojitolea, katika MAHAKAMA YA RUFAA, kwenda KUKATA RUFAA KESI ILIYOIPA USHINDIkampuni ya Q-CONSULTLTD chini ya Mwenyekitiwake Yusuph Manji na kuuchukua ufukwe wote wa oysterbay(maarufu kama coco beach)

Tujitokeze kwa wingi kuonyesha umoja wetu na hitaji la msingi la eneo la umma(leo ni siku yamwisho ya kukata rufaa, tushiriki kwa wingi)

IMETOLEWA
NA OFISI YA MSTAHIKIMEYA MANISPAA YA KINONDONI
 
Leo tarehe 20/05/2016, muda wa saa sita na nusu mchana, mstahiki meya manispaa ya Kinondoni,ataongoza Jopo la wanasheria wa Manispaa na mawakiliwaliojitolea, katika MAHAKAMA YA RUFAA, kwenda KUKATA RUFAA KESI ILIYOIPA USHINDIkampuni ya Q-CONSULTLTD chini ya Mwenyekitiwake Yusuph Manji na kuuchukua ufukwe wote wa oysterbay(maarufu kama coco beach)

Tujitokeze kwa wingi kuonyesha umoja wetu na hitaji la msingi la eneo la umma(leo ni siku yamwisho ya kukata rufaa, tushiriki kwa wingi)

IMETOLEWA
NA OFISI YA MSTAHIKIMEYA MANISPAA YA KINONDONI
Dah sasa hapa sijui ataungwa mkono na wanachama wote pamoja na watetezi wa manji humu JF ama Vipi?
 
Ulijuaje kama ni wafuasi wa chadema?Hivi hujui wengi wanaompinga magufuli nyuma ya keyboard ni wana ccm kindaki ndaki?Ila wanajaribu kujenga hoja za namna hiyo ili wapate uungwaji mkono kutoka chadema.Na mimi nawaambia kuwa ,"Mtaisoma namba!"Safari hii hakuna cha ccm wala chadema,ngosha hapendagi ujinga!
 
Ajizi nyumba ya njaa, nayakumbuka maneno ya Dr.Slaa Sep, 01 2015 pale Serena wakati akielezea sababu za kuondoka Chadema, alitoa neno moja zito kwamba 'siasa ni sayansi'. Wengi walimpiga vita badala ya kutafakari.

Baada ya mfanyabiashara na diwani wa Mbagala kupitia CCM ndugu manji kuingia hatiani katika masakata mbali mbali ambayo kimsingi wabunge wa Chadema ndiyo walikuwa wakiyaibua huku wakilalamika kwanini serikali haichukui hatua. Kwa kifupi kuna hoja hizi nne,
  • Mosi ni ile kasha ya maji kununua kwa bei ndogo kiwanja cha NSSF na kuwauzia NSSF kwa bei ya 'kutupwa' baada ya muda mfupi,
  • Pili ni jinsi manji alivyotaka kujimilikisha jengo la PSPF lililopo Nyerere Rd. kiujanja ujanja na
  • Tatu ni kutaka kumiliki ufukwe wa Coco kwa njia zisizo halali na
  • Nne ni kugombea udiwani kupitia CCM ili aukwae u-Meya na kisha kujimilikisha baadhi ya ardhi za kimkakati jijini DSM kiasa cha baadhi ya watu kulalamika pengine atakuwa ni meya wa kwanza asiyejua kiswahili fasaha.
Hoja hizo hapo juu na nyingine nyingi ni nzito na ni ukiukwaji wa maadili, siku za karibuni baada ya serikali kushughulikia ukiukwaji huo wa sheria na kurudisha mali za serikali na zaidi kuwaadhibu wana-CCm waliotumia CCM kudhulumu wananchi na serikali Viongozi na wafuasi wa Chadema wameibuka mitandaoni na hoja zifutazo;
  • Eti vitendo bya serikali kurudisha ufukwe wa Coco,jengo la PSPF vimeongozwa na chuki na kukomoana.
  • Eti, Manji ni mwema sana, ila anaadhibiwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowassa,
  • Eti, Manji anaonewa sababu alikataa kuchangia kampeni za JPM
  • Eti, Serikali inawaonea matajiri na haitaki wafanyabiashara
  • Eti, hata Sethi na Ruge wa IPTL wanaonewa tu serikali iache uonevu ili wawekezaji waendelee kuwa na imani na mazingira ya uwekezaji.
Baada ya kufuatilia mijadala na michango ya wafuasi wa Mbowe na Lowassa, nimesema wafuasi wa Mbowe na Lowassa kwa sababu sitaki kuamini kama ni wafuasi wa Chadema niliyoijua. Nimegundua mambo mawili, mosi wengi wa wafuasi hawa wa Mbowe na Lowassa ni wachanga kiumri, hwajui walitendalo na walio na umri mkubwa wanalipwa pesa nyingi ili kujitoa ufahamu.

Kumbe yeyote anayekiuka maadili, mbadhirifu ni mfuasi wa Lowassa.
Povu la nini manji ni diwani wenu na mpigaji wenu wa kufa na kuzikana,kagoda,nssf mmepiga nae sana,hamuwezi kumkana labda lumumba fc yote iende pale mnara wa askari samora mvue nguo na kubongo'a mjipige cha kati mumkane mbele wa media ndio tutajua sio mwizi mwenzenu
 
Tulizoea kuona watu masikini wakien
Ajizi nyumba ya njaa, nayakumbuka maneno ya Dr.Slaa Sep, 01 2015 pale Serena wakati akielezea sababu za kuondoka Chadema, alitoa neno moja zito kwamba 'siasa ni sayansi'. Wengi walimpiga vita badala ya kutafakari.

Baada ya mfanyabiashara na diwani wa Mbagala kupitia CCM ndugu manji kuingia hatiani katika masakata mbali mbali ambayo kimsingi wabunge wa Chadema ndiyo walikuwa wakiyaibua huku wakilalamika kwanini serikali haichukui hatua. Kwa kifupi kuna hoja hizi nne,
  • Mosi ni ile kasha ya maji kununua kwa bei ndogo kiwanja cha NSSF na kuwauzia NSSF kwa bei ya 'kutupwa' baada ya muda mfupi,
  • Pili ni jinsi manji alivyotaka kujimilikisha jengo la PSPF lililopo Nyerere Rd. kiujanja ujanja na
  • Tatu ni kutaka kumiliki ufukwe wa Coco kwa njia zisizo halali na
  • Nne ni kugombea udiwani kupitia CCM ili aukwae u-Meya na kisha kujimilikisha baadhi ya ardhi za kimkakati jijini DSM kiasa cha baadhi ya watu kulalamika pengine atakuwa ni meya wa kwanza asiyejua kiswahili fasaha.
Hoja hizo hapo juu na nyingine nyingi ni nzito na ni ukiukwaji wa maadili, siku za karibuni baada ya serikali kushughulikia ukiukwaji huo wa sheria na kurudisha mali za serikali na zaidi kuwaadhibu wana-CCm waliotumia CCM kudhulumu wananchi na serikali Viongozi na wafuasi wa Chadema wameibuka mitandaoni na hoja zifutazo;
  • Eti vitendo bya serikali kurudisha ufukwe wa Coco,jengo la PSPF vimeongozwa na chuki na kukomoana.
  • Eti, Manji ni mwema sana, ila anaadhibiwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowassa,
  • Eti, Manji anaonewa sababu alikataa kuchangia kampeni za JPM
  • Eti, Serikali inawaonea matajiri na haitaki wafanyabiashara
  • Eti, hata Sethi na Ruge wa IPTL wanaonewa tu serikali iache uonevu ili wawekezaji waendelee kuwa na imani na mazingira ya uwekezaji.
Baada ya kufuatilia mijadala na michango ya wafuasi wa Mbowe na Lowassa, nimesema wafuasi wa Mbowe na Lowassa kwa sababu sitaki kuamini kama ni wafuasi wa Chadema niliyoijua. Nimegundua mambo mawili, mosi wengi wa wafuasi hawa wa Mbowe na Lowassa ni wachanga kiumri, hwajui walitendalo na walio na umri mkubwa wanalipwa pesa nyingi ili kujitoa ufahamu.

Kumbe yeyote anayekiuka maadili, mbadhirifu ni mfuasi wa Lowassa.
Serikali ya awamu ya tano hakuna aliyejuu ya sheria, Manji kama Watanzania wengine atafuata mkondo wa sheria.
 
Ajizi nyumba ya njaa, nayakumbuka maneno ya Dr.Slaa Sep, 01 2015 pale Serena wakati akielezea sababu za kuondoka Chadema, alitoa neno moja zito kwamba 'siasa ni sayansi'. Wengi walimpiga vita badala ya kutafakari.

Baada ya mfanyabiashara na diwani wa Mbagala kupitia CCM ndugu manji kuingia hatiani katika masakata mbali mbali ambayo kimsingi wabunge wa Chadema ndiyo walikuwa wakiyaibua huku wakilalamika kwanini serikali haichukui hatua. Kwa kifupi kuna hoja hizi nne,
  • Mosi ni ile kasha ya maji kununua kwa bei ndogo kiwanja cha NSSF na kuwauzia NSSF kwa bei ya 'kutupwa' baada ya muda mfupi,
  • Pili ni jinsi manji alivyotaka kujimilikisha jengo la PSPF lililopo Nyerere Rd. kiujanja ujanja na
  • Tatu ni kutaka kumiliki ufukwe wa Coco kwa njia zisizo halali na
  • Nne ni kugombea udiwani kupitia CCM ili aukwae u-Meya na kisha kujimilikisha baadhi ya ardhi za kimkakati jijini DSM kiasa cha baadhi ya watu kulalamika pengine atakuwa ni meya wa kwanza asiyejua kiswahili fasaha.
Hoja hizo hapo juu na nyingine nyingi ni nzito na ni ukiukwaji wa maadili, siku za karibuni baada ya serikali kushughulikia ukiukwaji huo wa sheria na kurudisha mali za serikali na zaidi kuwaadhibu wana-CCm waliotumia CCM kudhulumu wananchi na serikali Viongozi na wafuasi wa Chadema wameibuka mitandaoni na hoja zifutazo;
  • Eti vitendo bya serikali kurudisha ufukwe wa Coco,jengo la PSPF vimeongozwa na chuki na kukomoana.
  • Eti, Manji ni mwema sana, ila anaadhibiwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowassa,
  • Eti, Manji anaonewa sababu alikataa kuchangia kampeni za JPM
  • Eti, Serikali inawaonea matajiri na haitaki wafanyabiashara
  • Eti, hata Sethi na Ruge wa IPTL wanaonewa tu serikali iache uonevu ili wawekezaji waendelee kuwa na imani na mazingira ya uwekezaji.
Baada ya kufuatilia mijadala na michango ya wafuasi wa Mbowe na Lowassa, nimesema wafuasi wa Mbowe na Lowassa kwa sababu sitaki kuamini kama ni wafuasi wa Chadema niliyoijua. Nimegundua mambo mawili, mosi wengi wa wafuasi hawa wa Mbowe na Lowassa ni wachanga kiumri, hwajui walitendalo na walio na umri mkubwa wanalipwa pesa nyingi ili kujitoa ufahamu.

Kumbe yeyote anayekiuka maadili, mbadhirifu ni mfuasi wa Lowassa.



Vijana wengi wa ccm nahisi hawana akili timamu, hivi waliompa Manji eneo hilo ni serikali ya chadema au ccm? kama ni ya ccm mna akili za kusahau sana
 
Leo tarehe 20/05/2016, muda wa saa sita na nusu mchana, mstahiki meya manispaa ya Kinondoni,ataongoza Jopo la wanasheria wa Manispaa na mawakiliwaliojitolea, katika MAHAKAMA YA RUFAA, kwenda KUKATA RUFAA KESI ILIYOIPA USHINDIkampuni ya Q-CONSULTLTD chini ya Mwenyekitiwake Yusuph Manji na kuuchukua ufukwe wote wa oysterbay(maarufu kama coco beach)

Tujitokeze kwa wingi kuonyesha umoja wetu na hitaji la msingi la eneo la umma(leo ni siku yamwisho ya kukata rufaa, tushiriki kwa wingi)

IMETOLEWA
NA OFISI YA MSTAHIKIMEYA MANISPAA YA KINONDONI
Mbona juzi alivyorudisha ufukwe mliandamana na hoja kuwa serikali ina chuki dhidi ya Manji?
 
Povu la nini manji ni diwani wenu na mpigaji wenu wa kufa na kuzikana,kagoda,nssf mmepiga nae sana,hamuwezi kumkana labda lumumba fc yote iende pale mnara wa askari samora mvue nguo na kubongo'a mjipige cha kati mumkane mbele wa media ndio tutajua sio mwizi mwenzenu
kama unakiri hayo yote mbona mpo bize kumtetea?
 
Ajizi nyumba ya njaa, nayakumbuka maneno ya Dr.Slaa Sep, 01 2015 pale Serena wakati akielezea sababu za kuondoka Chadema, alitoa neno moja zito kwamba 'siasa ni sayansi'. Wengi walimpiga vita badala ya kutafakari.

Baada ya mfanyabiashara na diwani wa Mbagala kupitia CCM ndugu manji kuingia hatiani katika masakata mbali mbali ambayo kimsingi wabunge wa Chadema ndiyo walikuwa wakiyaibua huku wakilalamika kwanini serikali haichukui hatua. Kwa kifupi kuna hoja hizi nne,
  • Mosi ni ile kasha ya maji kununua kwa bei ndogo kiwanja cha NSSF na kuwauzia NSSF kwa bei ya 'kutupwa' baada ya muda mfupi,
  • Pili ni jinsi manji alivyotaka kujimilikisha jengo la PSPF lililopo Nyerere Rd. kiujanja ujanja na
  • Tatu ni kutaka kumiliki ufukwe wa Coco kwa njia zisizo halali na
  • Nne ni kugombea udiwani kupitia CCM ili aukwae u-Meya na kisha kujimilikisha baadhi ya ardhi za kimkakati jijini DSM kiasa cha baadhi ya watu kulalamika pengine atakuwa ni meya wa kwanza asiyejua kiswahili fasaha.
Hoja hizo hapo juu na nyingine nyingi ni nzito na ni ukiukwaji wa maadili, siku za karibuni baada ya serikali kushughulikia ukiukwaji huo wa sheria na kurudisha mali za serikali na zaidi kuwaadhibu wana-CCm waliotumia CCM kudhulumu wananchi na serikali Viongozi na wafuasi wa Chadema wameibuka mitandaoni na hoja zifutazo;
  • Eti vitendo bya serikali kurudisha ufukwe wa Coco,jengo la PSPF vimeongozwa na chuki na kukomoana.
  • Eti, Manji ni mwema sana, ila anaadhibiwa sababu alikuwa mfuasi wa Lowassa,
  • Eti, Manji anaonewa sababu alikataa kuchangia kampeni za JPM
  • Eti, Serikali inawaonea matajiri na haitaki wafanyabiashara
  • Eti, hata Sethi na Ruge wa IPTL wanaonewa tu serikali iache uonevu ili wawekezaji waendelee kuwa na imani na mazingira ya uwekezaji.
Baada ya kufuatilia mijadala na michango ya wafuasi wa Mbowe na Lowassa, nimesema wafuasi wa Mbowe na Lowassa kwa sababu sitaki kuamini kama ni wafuasi wa Chadema niliyoijua. Nimegundua mambo mawili, mosi wengi wa wafuasi hawa wa Mbowe na Lowassa ni wachanga kiumri, hwajui walitendalo na walio na umri mkubwa wanalipwa pesa nyingi ili kujitoa ufahamu.

Kumbe yeyote anayekiuka maadili, mbadhirifu ni mfuasi wa Lowassa.
.
Wanaompinga Magu ndani ya ccm ni wengi kuliko hata wale wa upinzani. Kikubwa ni kutambua kuwa utawala umejimilikisha haki juu ya wote na kwamba kauli za watawala ni absolute na haikosolewi . Huu ni uovu unaozidi maovu yote chini ya mbingu.
Hivyo watu sasa wapo wakipima kati ya uovu mmoja kwa mwingine na kuamua kutouona ule mdogo kwanza ili wasimame kinyume na ule mkubwa.
Nchi nyingi hasa za kiarabu zililazimishwa kuingia katika vurugu za wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya mabavu ya watawala bila kuzingatia sheria walizojiwekea wenyewe(katiba)'.
 
Nimesoma kitabu cha Mithali chote katika biblia hakika "UPUMBAVU" ni tusi kubwa sana hata upige kelele vip mpumbavu hatakuelewa zaidi atakuja na hoja nyingine ya kipumbavu zaidi.
Nadhani Mzee Mkapa alikuwa sahihi sana pale Jangwani.
 
Back
Top Bottom