Hii dawa inafanya kazi kwa watu wawili mkuu,kwa mwathirika na mtu ambaye sio mwathirika wa HIV.
Kwa mwathirika itachukua nafasi ya zile dawa za ARV,uzuri wa hizi Lenacapavir mgonjwa atakiwa kupata sindano kila baada ya miezi sita tu,mgonjwa hatakuwa na haja tena ya kunywa vidonge kila siku pia...
Inaitwa Gambling Addiction.ni Uraibu kama uraibu mwingine wala haiusiani na pepo.Hatua ya kwanza ni kukubali kwamba ana addiction ambayo ni ugonjwa wa akili then atafute proffesional help.
Brother kama hutojari ni PM number yako nikurushie japo kiasi kidogo kwaajili ya Bundle. Ahsante sana kwa hii simulizi.
Sent from my H8416 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.