Shirika la ndege la Serbia, ambalo ni shirika la ndege la Taifa la Serbia, lilisherehekea hatua nyingine katika mabadiliko kama shirika la ndege linaloongoza katika kanda, kwa kuwasili kwa ndege yake kubwa ya kwanza katika uwanja wa ndege wa Nikola Tesla jana.
Ndege aina ya Airbus A330...
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ndege la Etihad nchini Nigeria Bw. George Mawadri
Shirika la Ndege la Etihad ambalo ni shirika la ndege la taifa katika falme za kiarabu limemteua George Mawadri kuwa Mkurugenzi mpya wa shirika hilo nchini Nigeria, ambapo atahusika na kusimamia shughuli za...
Mkurugenzi wa Huawei Tanzania Bw. Bruce Zhang (kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi 10 wa vyuo vikuu nchini mara baada ya uzinduzi rasmi wa programu ya elimu ya Seeds for the future ambayo inadhamini wanafunzi 10 wa vyuo vikuu hapa nchini kila mwaka kwenda China kujifunza na...
Shirika la ndege la Etihad leo limefungua rasmi jumba jipya la kifahari kwa ajili ya kupumzikia abiria wake katika uwanja wa ndege wa Melbourne, Australia. Jumba hilo ni mahususi kwa kuwapatia abiria mazingira tulivu ambayo wanaweza kupumzika, kuongeza nguvu, kula, kufanya kazi au kuburudishwa...
Mei 10 2016, Timu ya wataalamu kutoka shirika la ndege la Etihad leo wametembelea abiria tisa waliolazwa baada ya Ndege aina ya EY474 ya shirika hilo kupatwa na msukosuko mkali katika anga la wazi ambapo walitoa huduma endelevu, ushirikiano na msaada.
Vile vile walikutana na wanafamilia kadhaa...
Sasa hivi hauwezi kuzuia kasi ya ukuaji wa mitandao hasa ya kijamii...ninavyoona ana haki ya kurusha hata kama asingerusha yeye mwenyewe vipi mtu mwingine angerekodi na kurusha,,,au askari kamsambazia rafiki yake naye akaamua kuitumia kwenye mitandao...??? Tukumbuke pia kisa cha kule tanga...
Mgeni rasmi Jaji (mstaafu) Joseph Sinde Warioba akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Britam Group Dk. Benson Wairegi muda mfupi baada ya mheshimiwa huyo kuzindua rasmi Kampuni ya Britam Tanzania inayojishughulisha na masuala ya bima katika soko la Tanzania, uzinduzi huo ulifanyika juzi...
Etihad Airways ambalo ni shirika la ndege la taifa la UAE, limezindua programu ya simu za iPhone ambayo inasaidia wageni kupangilia na kuratibu safari zao kwa urahisi zaidi kadri ambavyo shirika linavyoendelea kuendana na teknolojia ya kiuvumbuzi ya kupata taswira ya safari.
Wateja wa Shirika...
MY take:
Comments za watu wengi hazina mashiko na mleta uzi hajakamilisha habari kwa usahihi...kama ni kada Je ana cheo chochote CCM ni vizuri kingetajwa...na kama ni mtu wa kawaida basi tuambiwe umaarufu wake wa kuitwa kada, amefanya lipi hasa mpaka kuitwa kada wa CCM....vingenevyo hatuna...
Ni Kweli kabisa mkuu kama ni kufuta hadi online wangefanya hivyo...lakini mwambie lara1 aangalia hapa hapa jamii forums upande wa kulia...atakutana na bango la mnyama...aka SIMBA.
Shirika la Ndege la Etihad ambalo ni shirika rasmi la ndege la nchi ya Falme za Kiarabu, lenye makao makuu Abudhabi, hivi karibuni lilipanua wigo wa huduma zake jijini Dar es Salaam, ambapo katika kuadhimisha ujio wake hapa nchini, Shirika hilo liliamua kumzawadia mtanzania mmoja tiketi ya bure...
Narudia haya ni maneno ya kijiweni Voda wana campaigns kibao...bango la diamond likitolewa it means it's another time for another campaign/promotion...kwahiyo acheni uzushiiiiiiiiiiiiii....No 1 Diamond supporter #SHUT UP LORA SIJUI NINI...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.