Its very true hiyo ni genes kuna kipind nlikua Arusha kuna msichana mmoja tulikuwa tunabishana mambo ya kawaida sana akapasua chupa akataka kunichoma karibu na moyo
Kuna nyingine hizo iko kama kidonge ukieka huko chini unakua wamoto,nyingine zina ladha unakuwa ukieka unakua unanukia chocolate au vanila yan watu wana balaa acha tu
I think ungeanza kusoma vizur hivyo vitabu anza na hicho usichokijua vizur Quran soma neno hadi neno uelewe then ukae ufikirie ni binadamu gan anaweza kuandika maneno mazito kama yale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.