Huyo Jamaa anapost vitu ambavyo havijui? IFM tulikua zaidi ya 3000! Mm mwenyewe ID yangu Iliku zaidi ya 2800! Na pia wengine wamefanyia upande wa ukumbi wa mkapa
Ebu acheni kutetea hao wapumbavu nssf! Hio sio akili kuita watu wote kwenye interview mara 2!hizi ni inshu za kubebana!siku moja itaeleweka kama uhamiaji ilivyotokea!
Jamani nimekata Tiketi tayari!kwa ajili ya Interview lakini naona kuna viashiri vingi ambavyo vinaonyesha hao ni matapeli name sio NSSF mbaya zaidi naona mmoja wa matapeli hao nae anacoment APA! Jamaa forum kuhusu hii interview
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.