Nilipandia singida hiyo basi ya play boy inayotoka karagwe ilifika singida kwenye saa mbili ,
Nikapanda kuelekea dar aisee watu niliowakuta ndani ya gari walikuwa wamechoka balaa ukikaa karibu na mtu unasikia harufu kama vile kafariki duh
Safari ndefu balaa.
Watu wanateseka duniani sababu ni watenda dhambi .
Principal iko wazi ukimtumikia Mungu kwa uaminifu bila makandokando ya kumchukiza kwa matendo maovu ukaamua kuishi ya kulifata neno lake hakikahuwezi kuteseka.
Ila ukiishi kwa mazoea ya kutenda dhambi wewe ni wa shetani hakika Mungu hawezi kuwa...
Aliwazialo mtu ndilo humtokea, ukikili kwa kinywa chako kuwa una UKIMWI lazima uugue kweli kwa maana ya kwamba, sisi wanadamu tuna uungu ndani yetu yaani mungu alitupa nguvu sawa na zake, chochote unachokinena kwa kinywa chako kinaumba katika ulimwengu wa roho, ndipo magonjwa uanza kuonekana...
Umenifurahisha kwenye point no.3 kuzishika amri kuu za mungu na sheria zake hapo hata mchawi wa nigeri haniwezi , hakuna mchawi wa kuniroga nikiwa nayaisha maisha matakatifu yasiyo machukizo kwa mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.