kiongozi wa nchi moja, alitembelea uingereza. katika maongezi na malkia alimuuliza siri ya mafanikio ya nchi yake. Naye malkia akamwambia kuwa hupima busara za wasaidizi wake, kabla ya kuwateua au kuwaapisha,kwa kuwauliza maswali madogo lakini ya mtego, ili kutoa mfano hai malkia akamwita waziri...