Mavazi kama ilivyo ngoma,vyakula,lugha mila na desturi nk ni moja ya tamaduni za taifa au jamii yoyote.Huzuka kutegemea maendeleo ya kiuchumi, kimazingira,kijamii. hayatungwi wala hayapangwi. ukomavu wa taifa ndio hukomaza utamaduni wa jamii.Jamii changa kama tanzania yenye miaka 50 huwezi kulinganisha na jamii zilizo sheheni karne nyingi.vazi la taifa sio jezi ya timu ya taifa wala bendera, kwamba wala hukaa na kubuni(design), jinsi utakavyokuwa. leo kichekesho tunavamia mambo eti kamati ya kubuni vazi la taifa WAPI IMEWAHI KUTOKEA.nani alitunga lubega, kanzu hijab,baibui, kente, tartan, suti? nielewesheni au ndio kutafuvumbuzi mpya? au lula hela ?:lol::lol: