Wanajamvi, nimevutiwa sana na mada hii, lakini nadhani bado kdogo nahitaji kujua zaid. JZHOLO, Njunwa Wamavoko na wengne weng wenye weled wakina katika manunuzi kwa njia ya mtandao, tafadhar natamanim kujua maana nahitaji kununua na mm. e-mail yng josephchiwango@gmail.com, simu ya kiganjani 0712...
Hicho ni kivumushi, kwasababu mara nyingi kivumishi huwa mbele ya Nomino au Kiwakilishi..... sasa katika sentensi yako hapo kuna Nomino kapa. Ukisema 'Tangu jana hajafika" sehemu iliyopigiwa mstari ni kivumuishi kirejeshi.
Nataka kupata nafasi ya kuingia magereza (yoyote) ili niongee mawili matatu na wafungwa na kupublish mahojiano hayo, je ni hatua zipi za kisheria natakiwa kufuata ili kuwa na uhalali wa kufanya hivyo?...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.