Recent content by Joao Pedro

  1. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Asante ngoja nikacheki
  2. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Naombeni app niangalie mpira wazee
  3. J

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    We ulitaka walishwe nini au ugali kwako hujawahi kula kabisa!!!?, Uwezo wao umeishia hapo Shiriki nao tukio lililowakutanisha uwasapoti hicho ndo kitu cha msingi,chakula unachokipenda utakula kwako, tena muda wowote
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Sasa mbona misiba mingi Tanzania hii chakula kinachopikwa zaidi ni ugali mzee
  5. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sawa mkuu tumpokee ameshakuwa familia yetu
  6. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ni sahihi ulichosema lkn tofauti ya Tosin na Henderson ni kwamba Henderson alikuwa ni regular starter wa Liverpool na Tosin ni bench warmer
  7. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nilimfatilia alipokuwa CP dogo mzuri sana
  8. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sawa naona upande wa kulia na kushoto pametimia
  9. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upi
  10. J

    JamiiForums Tanzania Nini siri ya uweupe?

    Mimi rangi yoyote tu, maana kwenye kuchagua mwanamke huwa siangalii rangi Akiwa mweupe nimempenda fresh Akiwa mweusi nimempenda fresh
  11. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hamna mchezaji hapa mbele kule alikuwa anaongoza kupoteza mipira control yake mbovu sana
  12. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Dogo ananyumbulika sana Nimemwangalia mechi ya leo
  13. J

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    Naam kama unaielewa hii code utafika mbali
  14. J

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    Lakini hata mimi vya kwao huwa nakula tu sana ikiwemo na hizo pesa zao pia Muda mwingine tunatoka bills zote anamaliza yeye Penzi linakuwa la pande zote mbili sio mmoja awe parasite kwa mwenzake linanoga sana na halichoshi
  15. J

    JamiiForums Tanzania Wanawake tunapenda hivi...

    Wote niliowahi kuwa nao kimahusiano ya kimapenzi nilikuwa nawapa sijui ubahili Tulikuwa tunatumia na kufurahi
Back
Top Bottom