Wanawake tunapenda hivi...

Wanawake tunapenda hivi...

Ap
Wanawake tunapenda Kupendwa, Kuheshimiwa, Kuthaminiwa, kusikilizwa,Kusifiwa, kuhudumiwa na mambo mengine mazuri kama hayo.


AD_4nXePUOdV2znxwFMbCrVMI6bpRtB8soh_bDkkmKzoON-MPBAX01aDDW1ORXQDukMo6VFreTXESitqxkRvLP5o5x5y38lMtWeE6cnkxzwQas8HKO2XdU1JRfRH975Cu2yMPXFMKSbOVKNIRQ=s2048



Kuhusu kupendwa

tunapenda upendo unaoonekana kwa vitendo, hususan uvumilivu wakati wa shida, na upendo wa kweli huondoa hofu na tunakuwa huru zaidi Na mwanamke aliye huru ndiye anang’ara zaidi.Halafu anakuwa sio mchoyo😜.


Kuheshimiwa mbele za watu na hata faraghani.Maoni yetu yawe na uzito. Tukiheshimiwa, ujasiri wetu unaongezeka. Na mwanamke mwenye ujasiri anajenga familia vizuri.Usitegemee kuheshimiwa kama hujisheshimu na huheshimu wengine.


Kuthaminiwa na kuwekwa kipaumbele hususan mbele ya watu. Kuchaguliwa sisi kwanza. Juhudi zetu pia ziheshimiwe

Tukijua sisi ni kipaumbele, tunafurahi na tunafanya bora zaidi bila kulalamika hususan kitandani.


AD_4nXcG_LJOFbGYmBal3dMVPjN1Gq46GOSXfC-0G9vrJrsOFd615q_cVA8lENbxziq1KWZbP1yymEH8Lxlvl6sTxSgXckTHf-0S5iTKMwey3Bw4fSb7kman91dw8BKqmPkXoAG74McXOrLytQ=s2048



Kusikilizwa. Mwanamke wakati mwingine anapitia changamoto nyingi huenda Kila mtu anaweza kumlaumu lakini ni vizuri akasikilizwa kwa upole na kueleweka kisha akapewa ushauri.Tukisikilizwa, mioyo yetu inatulia. Na moyo uliotulia unazaa mawazo mazuri.

Tunapenda kusifiwa mfano "Umejitahidi." "Umevaa vizuri." "Nimekuona umependeza” umepamba nyumba vizuri.

Sifa ndogo inaamsha Ile hali ya kuendelea kupenda na kuvumilia. Inatupa nguvu ya kujitahidi zaidi kila siku.


Kukumbatiwa. Tunapenda sana kwa sababu kunaponya uchovu wa siku nzima na kutoa faraja kwa mwanamke na kumfanya ajisikie vizuri.Kukumbatiwa kunatoa uhakika wa kuonyesha kuwa "nipo nawe". Hapo ndipo tunapopata nguvu ya kupambana tena.

Tunapenda kuhudumiwa.Mfano kununuliwa zawadi ndogo ndogo na hata kubwa. Mfano Nguo za ndani,Saa,Gauni,Viatu, Kupelekwa sehemu nzuri kupumzika, Pesa kidogo ya matumizi na vitu kama hivo. Tunapenda pia kuulizwa "Umekula?" "Umelala?" "Nikusaidie nini?

Huduma ni lugha ya upendo. Inatufanya tujisikie salama na kutunzwa.


AD_4nXcnfzLwC0xC1XbY1Np8Qe9nH3rE4KSoukYa5RrQH07yD1DOt0gn1esY6OUUqJt8gQIluH435UxUH7lbZdegFI5lxzdbeLdrFI_X5533rrL8Rqqw297JC7kGs0OqBKWNsS08n0Bmgzaqmg=s2048



Tunapenda ushirikiano,Mfano Katika malezi ya watoto kupeleka mtoto clinic,shuleni na kusaidiana kazi ndogo ndogo za nyumbani.

Mwanamume anaposhuka na kushiriki, mzigo unapungua. Na mwanamke asiyechoka ndiye anang’ara na kunawiri vizuri.

Kuhusu pesa si kipaumbele sana kwa mwanamke kama kutakuwa na upendo, heshima, ushirikiano na uwajibikaji.

Mpe mwanamke upendo, heshima, kipaumbele na ushirikiano. Utashangaa jinsi atakavyonawiri na katika nyumba yako upendo na amani vitatawala.
Point unazo mkuu, ila hili la kufurahi kupendwa, lina ukakasi.

Rudia kulifafanua, je mnafurahia kupendwa na watu mnaowapenda au mnafurahi kupendwa na yeyote?

Kama ni hivyo kwa nini huwa mnavurumsha matusi pindipo mtu anapokutongoza?

Ingawa binafsi nafahamu kuwa matusi ya mwanamke katika 'tongozwa mode' huwa ni kelele za chura zisizozuia ng'ombe kunywa maji!

Sa'niambie, matusi unaweza kuyauza kwa mtu anayeonesha kukupenda ili kujaza furaha yako?
 
Ap

Point unazo mkuu, ila hili la kufurahi kupendwa, lina ukakasi.

Rudia kulifafanua, je mnafurahia kupendwa na watu mnaowapenda au mnafurahi kupendwa na yeyote?

Kama ni hivyo kwa nini huwa mnavurumsha matusi pindipo mtu anapokutongoza?

Ingawa binafsi nafahamu kuwa matusi ya mwanamke katika 'tongozwa mode' huwa ni keleleza chura zisizozuia ng'ombe kunywa maji!

Sa'niambie, matusi unaweza kuyauza kwa mtu anayeonesha kukupenda ili kujaza furaha yako?
Sijajua unatongoza watu wa aina gani na unatumia lugha Gani wakati wa kutongoza.

Pengine vipi kuhusu muonekano wako.

Unatukanaje mtu ambaye hajakukosea?
 
Sijajua unatongoza watu wa aina gani na unatumia lugha Gani wakati wa kutongoza.

Pengine vipi kuhusu muonekano wako.

Unatukanaje mtu ambaye hajakukosea?
Sasa wewe mkuu si una busara halafu mwelewa?

Kuna wanawake washenzi asikwambie mtu!

Washaona matusi na nyodo ndiyo silaha zao za maangamizi.

Lakini mi nishajiapiza mwanamke nikimtokea akanitukana waalah lazima nilale naye,bora yule mstaarabu anaye kukataa kisayansi.
 
Sasa wewe mkuu si una busara halafu mwelewa?

Kuna wanawake washenzi asikwambie mtu!

Washaona matusi na nyodo ndiyo silaha zao za maangamizi.

Lakini mi nishajiapiza mwanamke nikimtokea akanitukana waalah lazima nilale naye,bora yule mstaarabu anaye kukataa kisayansi.
Hata mimi nakusapoti.
Lala nae tu kwakweli.
Kwa sababu ni ushamba.

Mtu anamwaga sera zake kwa nini umtukane?
Inakataa tu kiustarabu jamani
 
Lakini hata mimi vya kwao huwa nakula tu sana ikiwemo na hizo pesa zao pia

Muda mwingine tunatoka bills zote anamaliza yeye

Penzi linakuwa la pande zote mbili sio mmoja awe parasite kwa mwenzake linanoga sana na halichoshi
Nakubaliana na wewe.
Wote mkiwa watoaji ni kitu kizuri.
 
Back
Top Bottom