Mambosasa alinishangaza sana alipomkejali kwa kujiamini eti Dr kavaa malapa hivyo hana uwezo wowote katumwa na Lugumi. Sasa nikajiuliza kwani Lugumi akitaka kumtuma mtu anashindwa kumtengenezea mwonekano usiotia Shaka?!
Mimi pia najiuliza sana kilichompata huyu jamaa Wetumpka! Kama hakubaliani na wakubwa wake amfuate Dr. Slaa tu kwa amani tutamuelewa kuliko kubaki vuguvugu hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.