Ana gundu. Roho ya uharibifu is something real, Ila yeye hajui kuwa yuko possessed
Una vibweka wee babuKwa akili zangu nikajua nakufagilia....
nimekupata baraabaraa
Wanajeshi wetu watusaidie kuiondoa roho ya uharibifu wasiangalie mipaka pekee nchi inaanguka hii
Tunaongozwa Na frustrated mind. Frustration huleta uharibifu.
Huyo ambaye majengo yake yanabomoka ndio huyo huyo ambaye anataka kubomoa jengo la Tanesco. Roho ya uharibifu inamla, nchi inalipa fidia kutokana Na maamuzi yake ya sijui za nyuma. Ndege iliyokamatwa Canada ni matokeo ya maamuzi yake ya kiharibifuMajengo ya jpm yanabomoka.......... Hii roho inazidi kuonelana live.
Nashauri hiyo fly over ipate usimsmizi mzuri
Dah! Mkuu wewe umefikiria mbali sana kuliko wengine. Nadhani hii siku haiko mbali tutashudia vihojaMimi huwa najiuliza, japo sio kitu kizuri sana, siku akifa Makonda atazikwa kama Paulo Makonda au Daudi Bashite?
Kabisa na Askofu ataendesha ibada ya kuficha ukweli?
Ndugu zake watamlilia Paulo ama Daudi?
Msalaba wake kaburini utaandikwa nini?
Maswali magumu haya......kama ngumi ya Lugumi!
Tena aibu kubwaDah! Mkuu wewe umefikiria mbali sana kuliko wengine. Nadhani hii siku haiko mbali tutashudia vihoja
Hostel za magufulo za Udsm zimepatwa na hii roho zina ifa mkubwa. Zinaweza kuanguka saa yoyote.Vyeti feki roho ya uharibifu madini roho ya uharibifu bomoabomoa roho ya uharibifu traffic faini roho ya uharibifu meri ya magogoni - bagamoyo roho ya uharibifu kuzuia nyumba mwanza roho ya uharibifu kuzuia gharama ya matibabu ya lisu roho ya uharibifu
Mwenyewe yuko busy Na kuchunguza pichaHostel za magufulo za Udsm zimepatwa na hii roho zina ifa mkubwa. Zinaweza kuanguka saa yoyote.
Kuna roho nyingi zinazofanya kazi. Kazi za kusonga Na kazi ya kubomoa. Kazi ya kupatanisha Na kazi ya kufarakanisha.
Roho ya uharibifu ni roho yenye nguvu sana. Itaharibu ndoa yako, gari yako, familia yako, kipato chako etc.
Roho ya uharibifu ndio inayoharibu uchumi wetu, ndio inayoharibu kipato chetu, inaharibu mfumo wetu wa elimu.
Kabla hatujaanza kumuombea rais ni lazima tuiombee roho ya uharibifu itutoke ili tuweze kuendelea.
Nyerere alisema ili nchi iendelee inahitaji watu, siasa safi, uongozi Bora Na ardhi.
Siasa yetu imeingiliwa Na roho ya uharibifu, watu wananunulika, wanasahau kuwa ni sisi tuliowachagua.
LEO wanaacha madaraka tuliyowakabidhi, tunaenda kwenye uchaguzi mwingine utao haribu pesa za nchi.
Ardhi yetu imeingiwa Na roho ya uharibifu. Sera zetu za ardhi ni kichefuchefu.
Uongozi Bora nao haupo, ni uharibifu Kila mahali
The usisahau kuwa mwenge ni laana Na ndio chanzo cha uharibifu.
Isaya 50:11
Mradi wa mabasi ya mwendokasi ni mradi wa MTU binafsi. Ndege iliyokamatwa Canada ni matokeo ya maamuzi ya kukurupuka. Kwani CHADEMA ndio waliomtimua mkandarasi Bila kufuata utaratibu?Umesahau pia roho ya uharibifu na fitina ya chadema &Co. ambao ni kama wanasubiri nchi ishindwe wafurahie, wanaombea mradi wa mwendokasi ufe na usimame wacheke, wanaombea Wanafunzi wakose mikopo wafurahie, wanaombea Ubungo interchange ishindwe wachekelee, wanaombea Shirika letu la ATCL lishindwe kunyanyuka wafurahie, wanaombea ndege zetu zikamatwe na Muzungu (Tundu Lisu) ili tusiweze kujinasua hapa, wanaombea SGR yetu ishindwe na wanakwenda hata mbali na kuwaambia Muzungu aiwekee Tanzania vikwazo vya Kiuchumi, tena akina Tundu Lisu wanaandika barua kabisa!
I hate Tundu Lisu, ni is the devil!
Mradi wa mabasi ya mwendokasi ni mradi wa MTU binafsi. Ndege iliyokamatwa Canada ni matokeo ya maamuzi ya kukurupuka. Kwani CHADEMA ndio waliomtimua mkandarasi Bila kufuata utaratibu?