Recent content by jmour

  1. jmour

    Nimelazimishwa kushiriki tendo bila kinga

    Sasa mkuu wasi wasi wako uko wapi wakati unakutana naye nafikiri ulimtongoza kwa ajili ya kua permanent kwa nini hukuchukua uamuzi wa kwenda kupima ukimwi
  2. jmour

    ANADAI NILEE MWANANGU

    Dah,mkuu nimepata kitu kupitia hii asante sanaa kwa hili
  3. jmour

    ANADAI NILEE MWANANGU

    Sikujua kama alitoa au laa na ndio maana nilikataa tu aliponiambia tena ana mimba
  4. jmour

    ANADAI NILEE MWANANGU

    Doooh,inaweza ikawa
  5. jmour

    ANADAI NILEE MWANANGU

    Asante
  6. jmour

    ANADAI NILEE MWANANGU

    Habari wana jukwaa wenzangu, Ushauri wengu ndio maamuzi yangu,ilikua mwaka jana nilipo achana na huyu binti niliyekutana naye kama miaka miwili nyuma,nilikaa naye home kwetu miezi miwili na nusu na baadae akadai ni mja mzito nilikubali kwani kipindi chote hicho nilikua naye na hata kipindi cha...
  7. jmour

    Mtaani kuna pesa nyingi sana inayotafuta wahitaji

    Hzi ndio biashara za kwenye makaratasi nisizozitaka,utamu wa ngoma ingia ucheze nyie ma motivetors huwa mnatuzingua sana mjue
  8. jmour

    Nimegundua siri, ukiwa na mapenzi ya kuchimba chimba umekwisha

    Hizo mambo nilishaachaga kitambo sana nilioona nitapata presha bure,ilifikia wakati nilikua nampa ugoro anuse ili akipiga chafya nijue kweli hajaenda kukutana na mwanaume
  9. jmour

    Simpendi hata ile ya kinafiki jamani Naombni ushauri

    Tufanye huyo dada ndio uwe wewe,umeshazalishwa na ndio unampenda mtu afu mtu mwenywe hakupendi vaa uhusika,
  10. jmour

    RC Happi: Ukiniona mimi ndio umemuona Rais Magufuli na huwezi kumpa Rais siku 7, awasamehe waandishi kwakuwa hawajui walitendalo

    Taifa lipo kwenye hala ngumu sana,kila ni shaghala baghala vibuli hutoa wapi hawa watu
  11. jmour

    HUYU MNYAMA ANAITWAJE?

    Hata mi si mjui ila ana nani hii kama za mbuzi
  12. jmour

    Nimekumbuka mbali sana leo

    Wale tuliolelewa na mama wa kambo miaka ya 90 hadi 2000 gonga like hapa maana tulilelewa kwa malezi bora
  13. jmour

    Kwa ulemavu huu aliosababishiwa Tundu Lissu, ninaichukia sana Serikali ya awamu ya tano!

    Thread hii hukuielewa mkuu,omba msaada wakufafanulie uelewe
  14. jmour

    Wanaume wenzangu hii siri nyingine leo Nawapa!

    Ni kweli mkuu,ndio maana tukaambiwa wanawake tuishi nao kwa akili si kwa akili
Back
Top Bottom