Sasa mkuu wasi wasi wako uko wapi wakati unakutana naye nafikiri ulimtongoza kwa ajili ya kua permanent kwa nini hukuchukua uamuzi wa kwenda kupima ukimwi
Habari wana jukwaa wenzangu,
Ushauri wengu ndio maamuzi yangu,ilikua mwaka jana nilipo achana na huyu binti niliyekutana naye kama miaka miwili nyuma,nilikaa naye home kwetu miezi miwili na nusu na baadae akadai ni mja mzito nilikubali kwani kipindi chote hicho nilikua naye na hata kipindi cha...
Hizo mambo nilishaachaga kitambo sana nilioona nitapata presha bure,ilifikia wakati nilikua nampa ugoro anuse ili akipiga chafya nijue kweli hajaenda kukutana na mwanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.