Mifuko ya jamii si benki ya kufanya biashara ya kukopesha watu. CCM wafanye siasa kwa kukopa katika taasisi za kiraia na hata wasiporudisha hatutakuwa na muda wa kuuliza lakini pesa za wananchi wazikome hatukuwatuma kufanya siasa sisi inamaana ile mbinu yao ya kuwatisha matajiri ili wawe...
Huwa nasikitika sana watu mnapotumia nguvu kubwa kuwalaumu polisi, polisi si watu wa kulaumiwa ndugu zangu.
Kwa mtu mweusi kazi ya kuajiriwa hufanywa na mtu ili kupambana na adui njaa sasa polisi wasipotii matakwa ya wanasiasa wenye dora watafukuzwa kazi na ujue polisi si kama walimu hata...
Je akirudi nyumbani akakuta malaya yule kajifungia ndani asimgongee mlango? Namshauri pia aanze kuhamisha vitu vyepesi vyenye thamani kama vile TV na radio.
Hao unaowaita wahuni ni raia wa wapi? Si pendi mtu anaye jibinasfishia nchi utazani ni mali ya mama na baba yake.
Kama kweli yeye alikuwa anaamini wanachi walikuwa wanampenda sana angeruhusu demokrasia itamalaki Libya alafu awe anasubili kushinda uchaguzi kiharali.
Mtawala mwenye nia nzuri na...
Nilisha shuhudia kwa macho yangu mtu mmoja ambaye anatumia ARV kwa miaka 9 sasa mwaka juzi alipimwa tena maambukizi ya VVU kwa lengo la kuhakiki ubora wa vitendanishi majibu yalikuwa ni non reactive kwa vyote determine na unigold ingawa kit hizo hizo zilionesha majibu sawia kwa watu wemgine...
Si wote, huo utafiti labda uliufanya kwa madereva wa madalala, na mabasi, hao karibu kila siku wanapambana na sirikali mabarabarani hivyo ili kuyapatia ufumbuzi matatizo yao inabidi wawe wafuatiliaji wa kila kinachojili Duniani.
Madereva wa taasisi za serikali ni vichwa maji sijawahi kuona...
Kwanini huyo nanga hashangai mwisho wa mwaka wa bajeti ya serikali ni mwezi June na sio December. Mwanzo wa mwaka wa serikali ni mwezi July na sio January.
Siku 30 za utumishi wa umma hutimia kila tarehe 22 ya kila mwezi, ikizidi hapo basi zinakuwa ni siku 31,32,33 nk ambapo inakuwa ni zaidi ya...
Mbona watu tunakuwa wanafiki sana!
Si ni sisi sisi tunaoshangiliaga Simba yetu na Yanga yetu mpaka tunafia uwanjani?
Hizo timu zenu mbili ni mbovu balaa na ndiyo timu yenu ya Taifa.
CCM hawawezi kujinasua kwenye lawama hii. Viwanja vyote wameving'ang'ania wao, haviendelezwi havina taa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.