barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Hip hop is dead, nyimbo walizoimba kina Flava Flev yeye anaimba leo??
Aisee yaani ndo shida hii,!! Sisi tunajitahidi kuua, kutoka, na kufungia lakini bado tu wanazidi kuongezeka.Kumbe bado kuna wanaharakati
Sio Shonza, sema kipozeo cha mheshimiwa "jiwe".haujafungiwa bado au shonza hajausikia bado
HaichekeshiHaya tusubiri matokeo yakee bila kusahau Hashtag zetu...
[HASHTAG]#FreeMzalendo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YukoWapiMzalendo[/HASHTAG]
Sio Forum ya vichekeshoo hii, Mbipi wewHaichekeshi