Niliwahi kuhisiwa usalama miaka hiyo
Nimemaliza chuo nikapanga chumba mitaa fulani
Mungu mwema nikawahi kupata ajira
Sasa mzee asubuhi sipo narudi jioni au usiku sina story na vijana wa mtaa zaidi ya salamu tu
Sasa akaja mwanangu kutoka mkoa akawa anashinda nao sana vijana wa mtaa ndo...
Kwa maelezo ya prof kasema magonjwa ya moya yanaongezeka
Hata kama ni wa 20 tu wapo mjini kama mwanzo watu watano tu ndo walikuwa wanaugua magonjwa ya moyo na sasa wanaugua Watu 9 huoni kama kuna ongezeko hapo?
-Naomba kukuuliza kitu mkuu unaamini kuna Mungu? Ukinijibu hilo swali tutaendelea.
-Unaamini kuna Mungu? Tunaanzia hapo
-Mungu yupo unaamini hilo sio?
-kama unaongelea facts ni kwamba unaamin Mungu hayupo na uchawi haupo right?
Chemistry ipi inaweza kumuua mtu kwa kuchukua nguo yake...
Henry aliondoka mzee akiwa ameridhia tena kwa roho nyeupe na aliruhusu
Hao vijana wengine walilazimisha kuondoka kwa kuona timu haifanyi vizuri kwahiyo prof aliruhusu ila kwa shingo upande thus why alikaza kuwarudisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.