Karibuni Open university of Tanzania

Karibuni Open university of Tanzania

Hayo mawazo yako mimi sina kazi wala nini ila nipo Open sio wote wana kazi wanao soma open
Mkuu maelezo yako yamekuwa na msaada mkubwa sana humu mm nimiongoni waliokiwa na mawazo mgando juu ya open university baada ya kufanya uchunguzi wa kina nmegundua open ni chuo kikubwa sana dunia... mtu mwenye cheti cha sua, udom, kcmc, bugando, navyote vya tz accept udsm hamkuti mtu mwenye cheti cha open kwa level za kimataifa
 
Mkuu maelezo yako yamekuwa na msaada mkubwa sana humu mm nimiongoni waliokiwa na mawazo mgando juu ya open university baada ya kufanya uchunguzi wa kina nmegundua open ni chuo kikubwa sana dunia... mtu mwenye cheti cha sua, udom, kcmc, bugando, navyote vya tz accept udsm hamkuti mtu mwenye cheti cha open kwa level za kimataifa

Acha uongo.
 
Acha uongo.
Ingia wikipedia then kaangalie affiliations za OUT dunia na vyuo vingine vya hapa bongo ndio utajua hujui
Screenshot_20201028-111752_Chrome.jpg
 
UBAYA WA OUT KWA DEGREE NI HAKUNA LOAN / MKOPO KWA WANAFUNZI SO UNAJILIPIA ,
Mikopo ipo, inafuata vigezo vile vile vya Loanboard! Kinachotokea ni kwamba kwa sababu OUT huhitajiki kulala chuo au kula chuo hupati lile wenzio wanaita boom ambayo ni gharama ya hostel na meal allowance!

OUT utapata stationary pekee, tuition fee, zinalipwa direct chuoni!!
 
Ukweli ndiyo huo mkuu, wengi wanaokuja OUT wamekosa ruhusa kazini mambo ya kujielewa mleta mada ameamua kutuuzia chai tu
Huo ni mtizamo wako lakini bado upo wrong, wapo wengi sana vijana wadogo hawana ajira na wanasoma fresh!! Na haijaanza leo toka kitambo sana japo pia watu wenye shughuli zao hubalance muda na kuamua kujisomea kwa njia ya OUT.

Na wakimaliza wanaingia kwenye soko la ushindani wa ajira kwa kishindo kikuu!!

Pitia centres za OUT mkoa wowote mchana uone watu wanavyopiga kitabu iwe library au kwenye vimbwete garden!!

OUT ni chuo kikuu bora kabisa Africa, cha pili katika taasisi zinazotoa elimu masafa, nafasi ya kwanza ikichukuliwa na UNISA ya SA. Wacha masihara!!!
 
Mikopo ipo, inafuata vigezo vile vile vya Loanboard! Kinachotokea ni kwamba kwa sababu OUT huhitajiki kulala chuo au kula chuo hupati lile wenzio wanaita boom ambayo ni gharama ya hostel na meal allowance!

OUT utapata stationary pekee, tuition fee, zinalipwa direct chuoni!!
Process za kuomba zinakuwa sana na vyuo vya kawaida?
 
Huo ni mtizamo wako lakini bado upo wrong, wapo wengi sana vijana wadogo hawana ajira na wanasoma fresh!! Na haijaanza leo toka kitambo sana japo pia watu wenye shughuli zao hubalance muda na kuamua kujisomea kwa njia ya OUT.

Na wakimaliza wanaingia kwenye soko la ushindani wa ajira kwa kishindo kikuu!!

Pitia centres za OUT mkoa wowote mchana uone watu wanavyopiga kitabu iwe library au kwenye vimbwete garden!!

OUT ni chuo kikuu bora kabisa Africa, cha pili katika taasisi zinazotoa elimu masafa, nafasi ya kwanza ikichukuliwa na UNISA ya SA. Wacha masihara!!!
Tatzo hawa wanaopiga si watu wakutafuta taarifa wao hujaji tu kutokana na mawazo yko
 
Ukweli ndiyo huo mkuu, wengi wanaokuja OUT wamekosa ruhusa kazini mambo ya kujielewa mleta mada ameamua kutuuzia chai tu
Unakuta tunataka kusoma kozi tofauti na za kule kazini hivyo ruhusa utanyimwa tu ndio maana inabidi kujiongeza na open
 
Napenda kuuliza Kwa aliyesoma diploma ya geology, Kwa OU anaweza soma kozi gani tofauti na geology?
 
naomba kujua kozi ya sheria inachukua muda gani na ada kwa mwaka na gharama zote kwa mwaka zikoje. ahsante
 
Natamani sana kujiunga open hii ni ndoto inayo ninyima usingizi ila naamini katika muda Mungu ataninyooshea inshaallah
 
Vijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda

Mkuu vipi hapo mnatoa kozi ya

Film and Theatre ngazi ya Shahada?Kama haipo je ni kozi ipo hapo inaendana na kozi hiyo?
 
Sijui ni kwanini sina imani kabisa na Elimu ya Open. Nina dhana km nineshindwa kusoma campus ni bora niendelee kula ugali nyumbani sio kwenda Open
 
Endelea kuota ndoto ukishtuka utakuwa umechelewa, wewe komaa na Ualimu wako, wenzako wanasoma programme za maana pale Open University, wanapata kazi nzuri wewe unaendelea kupiga chaki.

Mimi nimesoma Undergraduate UDSM ila Postgraduate nimesoma OUT.
Niliwahi kuwa na mtazamo kama wako ila baadae nikajiona mimi ndo nilikuwa gizani.
Sijui ni kwanini sina imani kabisa na Elimu ya Open. Nina dhana km nineshindwa kusoma campus ni bora niendelee kula ugali nyumbani sio kwenda Open
 
Gharama za PGDE zipoje?
Na unaweza kamilisha ndani ya mwaka mmoja?
 
Back
Top Bottom