Busara ya nini kwa kampuni ambayo ni feki?,
Wakati wanatuibia na kuingia nchi kinyume na sheria wenyewe walitumia busara?????
Bro, ssm wameingia nkenge wenyewe kusema kampuni ni feki wakati hiyo kampuni ssm mliileta wenyewe na mkasaini mikataba na sheria na hao wezi, sasa iweje jana mtuambie...
Wewe ndio sio muelewa, bro jpm wametudanganya watanzania kusema ACACIA ni kampuni feki. Sasa kama ACACIA ni kampuni feki mbona inaendelea kuchimba madini?, na kwa nn aseme atakaa meza moja na kampuni ambayo haipo/haijasajiriwa Tanzania????,,,wake up bro..
Ndio maana henche akasema basi kama ni...
Katiba ya warioba hileee kama naiona kwambali inajongea taaratibu. Kama kweli jpm ni mzalendo itabidi maraisi wastaafu nao wawekwe kwenye kikaango lakin kwa katiba hii hana uwezo wa kufanya hivyo, kwa hiyo basi mtukufu jpm ili uweze kushughulikia hili janga kisawa sawa inabidi bila kusita...
Mwenye kuangalia haya mambo kijuu juu siku zote ataishiaga kumlaumu mmarekani. Marekani ana changamkia opportunities zinazotokana na hii migogo inayotokea huko middle east lakin kusema yeye ni mwanzilishi hilo nalipinga.
Hii migogoro huko mashariki ya kati ilianza pindi tu Mtume Mohammed (S.A)...
Acha kudumaza akili wewe, wakati serikali inapitisha sheria ya mawasiano ambayo ipo kinyume na katiba yetu unadha lengo lao likua ni nn???
Kama hauna taarifa basi kwa sasa private mawasiliano kwa person to person zinakua traced. Hiyo record ya mawasiliano kati ya wema na mbowe inayosambazwa ni...
Kati ya lisu na ccm nani aliepitisha mikataba yote hii ya unyonyaji?, so raisi asirekebeshwe ama kushauriwa!??,,kweli leo nimeona ukweli wa msemo huu "It is very dangerous to be right in wrong government".
Bunge wakati wanapitisha mikataba ya kutunyonya watanzania na kutuibia raslimali zetu lowassa ndiye alipiga kula ya ndio peke yake bungeni rais alikua wapi????, Je neno utanzania kwanza hawakulifikiria hao wabunge wa ccm wakati wanapiga kula ya NDIOOO kupitisha mikataba ya kinyonyaji, na kama...
Lisu wakati anawashauri bunge kabla hamjasign hiyo mikataba yenu ya kinyonyaji mulimwita mchochezi na kumzomea na kwa ubabe mkamuweka rumande. Acha na hiyo ya kumuweka rumande kisa kawakosea, juzi hapa mkaleta fitina na figisu figisu ili asiwe raisi wa TLS.
Sasa hivi maji yamewafikia shingoni...
Hapa lengo ni kupata mpinzani atakaye leta chachu za maandeleo ya taifa letu,na siku zote mpinzani mzuri ni yule anayekujua nje na ndani. Maana yangu ni hivi hakuna mpinzani mzuri na atakaye tela changamoto za kimaendeleo kama CCM, hiki chama kinabidi kisivunjike bali inabidi kiwe chama cha...
Ukifuatilia historia ya kesi kama hizi, ni kesi gani tulisha wai shinda?
Lengo la mtoa hoja sio kushindwa ama kushinda kesi lengo ni jinsi gani ya kuepekua kuwa na makesi kama haya uko mbeleni. Na njia ni moja tu kuondoa wapitisha mikataba feki ambao leo hii yanajiona hero kwa kuzuia hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.