John Heche: Wananchi wa Tarime jiandaeni, Tutavamia mgodi wa Acacia na kupora kila kitu

Mihemko kwenye ubora wake.
Yaani huyu ni wa ajabu hata aliyekabidhiwa hiyo ripot hakutoa hayo maamuzi.

Jamani busara itumike kwani sisi wenyewe ndio tuliojiibia
Busara ya nini kwa kampuni ambayo ni feki?,
Wakati wanatuibia na kuingia nchi kinyume na sheria wenyewe walitumia busara?????

Bro, ssm wameingia nkenge wenyewe kusema kampuni ni feki wakati hiyo kampuni ssm mliileta wenyewe na mkasaini mikataba na sheria na hao wezi, sasa iweje jana mtuambie kampuni ni feki haitambuliki kisheria!!!!?

Ngoja muone faida za kuongea uongo ili mpate kiki.
 
Yaani wewe kijana kila kinachofanywa na mtu wa Chadema kwako ni kizuri tu, akili huifungui kabisa.. Ndio maana ata ukakuta mwizi anaiba uruhusiwi kumpiga mpeleke katika vyombo vya sheria.. Kwa akili yako huo ni mtego, kama ni mtego kategwa yeye bahaluli Heche
Mbona hukumpinga Lusinde aliposema hakuna fomula kwenye kumkamata mwizi? Sasa Heche anatekeleza unalalamika?
 
Mbunge wa Tarime John Heche amesema kwa kuwa imethibitika kampuni ya Acacia ni kampuni feki anawahimiza wananchi wa Tarime wajiandae kuingia mgodini kuchukua kila kitu hadi magari kwa kuwa hakuna forula ya kukamata mwizi Tarime

Amesema wananchi wa Tarime wameumizwa sana ikiwa ni pamoja na kutolipwa fidia na kuna ripoti ya waziri inasema wananchi takribani 64 wameuawa ili kuwalinda hao wezi wa Acacia




This is trap ambayo ccm wajilengesha wenyewe.
 
Ha ha ha. Kutoka kwa bashite saivi tupo acacia. Kweli magu ni fundi wa drama.
 
Heche amepotoka mno. Wenye akiki na hekima hawaneni wala kutenda kwa namna hiyo.
 
Leo ndio nimegundua Huyu heche ni bogus kabisa upinzani una safari ndefu Sana kwa kuwa na wabunge wa namna him.
 
Mmmmmh hapo napingana na wewe
Polisi watawaua na hakuna atakae koma zaidi ya hao raia na ndugu zao

Mgodi ni mali ya mwekezaji
 
Shamba lililo kwenye chanzo cha maji?yeye kama kiongozi alitakiwa awe mfano awe mstari wa mbele kulinda mazingira ina maana angeshinda uchaguzi akawa waziri mkuu,si misitu yetu angeigeuza mkaa.
With the same logic of being principled to laws, then ni kwanini serikali haifanyi vandalism kwenye migodi ya kampuni iliyo nchini kinyume na sheria? Kwanini it is okay ku-vandalise shamba la Mbowe aliye na shamba kinyume na sheria, lakini inakuwa nongwa kwa Heche kutaka kufanya hivyo kwa Acacia?
 
Mmmmmh hapo napingana na wewe
Polisi watawaua na hakuna atakae koma zaidi ya hao raia na ndugu zao

Mgodi ni mali ya mwekezaji
Wakurya hawapendi ujinga.
cf0bdc50bea39ebe2e4da84d8b0c6eca.jpg
 
Mpaka uwe na gb kubwa ndio utamwelewa Heche. Ana maanisha hv, inakuwaje ACACIA KAMA NI WEZI HAWAKAMATWI?? Sasa kama ni wezi turuhusu tuwakamate. Mkituzuia ina maana mnawasingizia!!
 
wakati mwingine hawa jamaa akili zao ni za hovyo kweli
kabisa heche ameona suluhu kuu ni kuvamia mgodi?
hapo ndipo harakati zao zote zinapooneka si kitu
UPUUZI HUU
ndipo wanapokera hawa jamaa, kwenye mambo hot km haya ghafla tu lijitu na midevu kibao linakuja na upuuzi ambao hata mwendawazimu atakushangaa ukiusema...bado sn hii nchi kwa hakika!!
 
Leo ndio nimegundua Huyu heche ni bogus kabisa upinzani una safari ndefu Sana kwa kuwa na wabunge wa namna him.
Sisi wana Tarime haswa Jimbo lake tunamjua vizuri, tumemuona akikua ni kijana ana akili nzuri sana, umeshindwa tu kuelewa anamaanisha nini na natumai ujumbe umefika kwa mkulu. Narudia tena si Bogus ndo maana hata sisi wa chama tawala tulimchagua na anatuwakilisha vyema. Bogus ni hawa wenzetu wasioishiwa vituko na matukio kila kukicha. ACACIA ni feki hahahahahaha (kicheko cha Le mutuz)
 
Back
Top Bottom