Mkuu usipaniki. Kwani tulikuwa hatuoni wabunge wakipitisha sheria bungeni? Unaukumbuka ule muswaada wa gesi na mafuta uliopitishwa 2015 siku ile usiku wapinzani wakatoka nje? Huo ndio mfano wa mikataba ya kimangungo inavyopitishwa na wazee wa ndiooooooooooo. Nimekupa mfano rahisi ili uelewe.Mikataba ipi inawabeba, we umeiona? Au umesikia story kutoka kwa mtu ambaye hawezi kuthibitisha. Mikataba haiwabebi kutoa data za uongo, hamna mkataba wa namna hiyo dunia nzima, na hili swala litapelekea mikataba yote kubadilishwa subiri uone.
Mikataba inawabeba ndio maana mpaka sasa serikali hawagusu hiyo mikataba.
Msihamishe magoli. Huyu anayejifanya kupigana sasa hakuwa pamoja na hao mabwana zako unaowataja? Yeye alifanya nini miaka yote hiyo 20 bungeni. Tukubali kama taifa kuna mahali tumekosea tukae chini tujisahihishe siyo kuleta lawama za kijinga ambazo hazina msaada kwa hali tuliyonayo sasa.Wewe una uhakika ACACIA watashinda hiyo kesi? Na je umeiona hiyo mikataba? Kufungua kesi mapema ni lazima maana wameguswa sehemu ya maisha yao.lakini cha pili hiyo CCM tutaitoa kwa namna ipi? Ya kuchukua makapi yanayotemwa huko CCM halafu sisi tunayapokea na kuyapatia bendera kugombea kwetu? Hapo ni sawasawa na kutoa CCM A kuja CCM B,,yaani mtu ahamie Chadema leo na kesho apewe kugombea uraisi tena bila utaratibu maalumu? Bado una ndoto ya kwamba tutaitoa ccm? Na haohao pia walikwepo wakati hiyo mikataba ya unyonyaji inapitishwa ioa walinyamaza kimya,wametukwamisha kwenye katiba mpya,ila kukatwa tu uraisi wakakimbilia huku we bado unaamini watatusaidia kuitoa Ccm?amka mkuu,wanasiasa wasikupelekeshe
Hapa lengo ni kupata mpinzani atakaye leta chachu za maandeleo ya taifa letu,na siku zote mpinzani mzuri ni yule anayekujua nje na ndani. Maana yangu ni hivi hakuna mpinzani mzuri na atakaye tela changamoto za kimaendeleo kama CCM, hiki chama kinabidi kisivunjike bali inabidi kiwe chama cha kipinzani hapo ndipo tutaona umuhimu wa CCM kama ifuatavyoWewe una uhakika ACACIA watashinda hiyo kesi? Na je umeiona hiyo mikataba? Kufungua kesi mapema ni lazima maana wameguswa sehemu ya maisha yao.lakini cha pili hiyo CCM tutaitoa kwa namna ipi? Ya kuchukua makapi yanayotemwa huko CCM halafu sisi tunayapokea na kuyapatia bendera kugombea kwetu? Hapo ni sawasawa na kutoa CCM A kuja CCM B,,yaani mtu ahamie Chadema leo na kesho apewe kugombea uraisi tena bila utaratibu maalumu? Bado una ndoto ya kwamba tutaitoa ccm? Na haohao pia walikwepo wakati hiyo mikataba ya unyonyaji inapitishwa ioa walinyamaza kimya,wametukwamisha kwenye katiba mpya,ila kukatwa tu uraisi wakakimbilia huku we bado unaamini watatusaidia kuitoa Ccm?amka mkuu,wanasiasa wasikupelekeshe
Hapa hoja ni Kuking'oa Chama Cha Majambazi madarakani kwa namna yoyote wacha kujivua ufahamuHivi aliyewaambia ACACIA watashinda kesi ni nani? Mbona watanzania hamjiamini, kesi kufunguliwa London au sehemu nyingine yoyote ile duniani haimaanishi Tanzania lazima ishindwe.
Alafu kesi yenyewe ni ya kuomba kuruhusu third party kufanya uchunguzi hata sio kuomba fidia. Watu mnaogopa sana companies za nje, ACACIA wana pesa ndiyo ila a $1 billion dollar company kwa hii age sio scary at all.
Utakuwa umevimbiwa ili tumpe nani sasaHistoria imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!
CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.
Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.
Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.
Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!
CCM OUT!
Mtasubiri sanaAcacia iwe chachu ya kumtoa CCM
Hakuna jipya kwenye maelezo yakoHistoria imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!
CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.
Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.
Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.
Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!
CCM OUT!
Tukikuchunguza we mwenyewe utakuta familia yako inapaswa kukushitaki hadhalani na kukukimbiza usirudi tenaHistoria imetusogeza katika ukingo wa haki. Mahali ambapo tunapaswa kutoa haki kwa wenye haki, na kupokea haki tunayostahili.
Ikiwa nguvu itahitajika ni sawa, maana historia itakuwa imetusogeza kwenye ukingo wa machafuko na hatuwezi kukwepa!
CCM imetuletea majanga yasiyomithilika.Ndio iliyopitisha sheria za uwekezaji kimuhemuhe. Ndio waliosign mikataba na wazungu kwa siri.
Na kama rasilimali zetu zimeibiwa basi CCM ni mshiriki namba moja kwenye huo wizi.
Tutamlipa Acacia, sio kwasababu ni halali, ila ni haki yake kisheria.
Na CCM hatuwezi kuwaacha hivi hivi hivi, itageuka ni mazoea.Tutamtendea kama mwizi anavyotendewa.
1. Tuitoe madarakani kabla ya kuidhinisha shilingi yoyote kumlipa Acacia.
2. Wahusika wakuu, Mzee Mkapa & co. Tuwafanyie mahakama ya wazi pale uwanja wa taifa.
TUWAHUKUMU WATU KUTOKANA NA MATENDO YAO.
Ndugu zangu, nyakati kama hizi ni adimu sana katika historia.
Ni nyakati za kipekee na zisizofananishwa na nyingine kwa vijana kuonyesha uwepo na uhai wao katika taifa. Vijana lazima waache alama ya kizazi chao katika historia.
Tumekusanya matatizo mengi kama taifa na hii ni fursa ya kuyatatua.
Nyakati kama hizi zinahitaji maamuzi magumu, roho na mioyo iliyo tayari ambayo hutokea mara chache sana katika historia. Lakini zinapotokea huleta mafanikio makubwa sana kutoka katika uwezo wa juu kabisa wa mtu!
CCM OUT!