Ni wazo zuri ila social credibilty ya sisi watanzania ni ndogo sana. Just imagine watu waliwahi kukopeshwa kutoka BRANCH App, Mshiko App lakini kurejesha ikawa ni shida hadi ikafikia watu hawapokei simu. Kwa sasa tuanze au tuendelee kukopeshana kupitia vikundi vya marafiki tuliowahi kusoma /...
Aliwahi kusema mtu mmoja kuwa ''Katiba Mpya haitawatoa CCM madarakani wale haitaiingiza upinzani madarakani''. Katiba mpya itatoka kwa mataka ya sisi wananchi wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.