Videoder na waptrick zimekuwa hazifanyi kazi siku hizi, kulikoni?

Tumia simu za kawaida zisizo smat utainjoi hata kama smat shart ziwe zile za zamani ila kwa hiz smat zetu toleo jipya hupati kitu
Nakuelewa pia maana hapa naona kama kuna ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom