vueni magwanda sasa mkishindwa kuvua magwanda, msituulize kuvua magamba , mmewaogopa madiwani na shibuda leo mlete utumbo wenu hapa? leteni hoja magwanda, acheni propoganda, tuambeni kwa nini mnakuwa wepesi wa kuropoka kuliko kuchukua hatua, maongo makubwa hamuwezi kutwaa nchi maupupu tupu.
eti...