Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ahsante sana mwanawane, wacha ninapitie pitie niwe na chochote cha kusemea.
thanks itanisaidia kiasi chake ila ile yenyewe haipatikani, raia mwema walisema wana copy, cant we get that document kweli mafisadi wameificha haippatikani
Hapa sio sehemu ya porojo, weka hiyo link hapa ili members wasome hiyo ripoti.hivi hii jamii forums haina moderators, edward lowassa ametajwa kwenye report ya africa power and politics iliyokabidhiwa kwa wahisani kuwa ni kinara wa rushwa....riport hiyo ipo kwenye mtandao...kwa nini nyie jamii forums mnaruhusu propaganda za lowassa zipenye humu ndani? Mimi ninavyofahamu presidential aspirant ni lazima awe mtu safi sasa kwa nini nyie jamii forums mnakuwa hivyo?