CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Hali ya hewa ndani ya vyama vikuu hivi wili kuelekea uchaguzi wa 2015, c mzuri. Huku ccm wakipambana na lowassa anayetaka urais kwa udi na uvumba na akielekea kupata sapoti na kuwaachia NAPE NA MUKAMA vumbi na siku zao 90 zilizowashinda kutekelezeka. Huku Zile tetes za zito na nccr naona zinaweza kuwa kweli. Hali inavyonyesha Zitto anapigania kugombea urahisi 2015 kama lowassa. Hali inavyojionyesha cdm, zitto atachukua form ya kinyang'anyiro cha urais na endapo cdm hawatampa fursa hiyo anaenda NCCR. Kauli yake aliyeweka facebook, kuhusu ile kauli ya JK kule kigoma ya kuwa rais ajae yafaa awe kijana imempa kichwa. Na tuhuma anazitoa kwa mh.mbowe juu ya gazeti la tz daima, inaonyesha ni jinsi gani uhasama wa zitto na mbowe unavyozidi kukua, huku wadadisi wa siasa wanasema chanzo ni uraisi 2015. Uchaguzi wa 2015 ni kivumbi, huku zito anachafua hali ya hewa cdm na ccm lowassa anachafua hali ya hewa. Yangu macho