Kwa Kabila Letu La Wamasai Mwanamke Mwenye Dhamani Kubwa Ni Mwanamke Ambaye Utampata Tayari Amezaa Akiwa Kwao. Namaanisha Kwamba Masaini Mahari Ya Mwanamke Mwenye Mtoto Au Watoto Mahari Yake Ni Kubwa Kuliko Msichana Bikra. Kwetu Tunazamini Watoto Kwa Sababu Ni Mali Bikra Haiongezi Chochote...
Siasa Za Kenya Na Tanzania Ni Tofauti Kiasi Kwa Vitu Nyingi. Siasa Za Bongo Zimejengwa Kwa Mithili Ya Kichama Zaidi Ilihali Kenya Siasa Zao Ximejengwa kwa midhili Ya Ukanda, Ukabila Na Daraja Za Kiuchumi Ya Wenye Nacho Na Wasio Nacho.
So Lowassa Ana Umaarufu Zaidi akiwa na Chama Chake Lakini...
Raila Is The Most Popular Politician In Kenya Akifuatiwa Na Mpinzani Wake Uhuru Watatu Ni Makamu Wa Rais Willium Ruto Wa nne Ni Makamu Wa Zamani Wa Rais Kalonzo Musyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana Jf Habari Za Leo? Mimi Kamanda Jf Nimejitokeza Mbele Yenu Ili Mniulize Swali Lolote Linalohusiana Na Siasa Za Kenya. Ni Imani Yangu Kwamba Mtauliza Maswali Yenye Hekima Kwa Pamoja Nitasaidia Kuyachambua Kwa Makini Kadri Nitakavyoweza. Uliza Swali Lolote Ilimradi Lihusu Uchaguzi Wa Kenya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.