Recent content by JF Member

  1. JF Member

    JamiiForums Tanzania Kubadili combination form five.

    Natafuta musaada kubadili combination kwa kijana wangu. Ndoto yake ni kusoma HGE ama EGM. Kwa sasa amechaguliwa HGL lakini shule hakuna combination za HGE na EGM. Natanguliza shukrani.
  2. JF Member

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wanaokaa peke yao wanaongoza 'kujibaka'

    Umefanya promo hiyo makitu bila wewe kujua.
  3. JF Member

    JamiiForums Tanzania Wakiristo huu muda wa siku kuanza saa 6 usiku wameutoa wapi?

    Huyo kapitiwa naona.
  4. JF Member

    JamiiForums Tanzania Hotel inauzwa, ipo Mtwara, Tanzania. Bei ni dollar 1.6m

    Uchumi wa kusini ni mhimu sana, Gesi asilia na Dangote wameshindwa kabisa kuinawilisha kusini.
  5. JF Member

    JamiiForums Tanzania Unahonga bil 10 ku support viongozi wabovu. Ili uendeshe ma Rolls Royce. Utayapitisha barabara zipi?

    Huyu mama apumuzishwe sasa. Anafanya watu tuwe nchi isiyoeleweka. Hakuna dila wala nini. Kwa sasa ukiulizwa serikali yake inasimamia nini ni hakuna, Kila kitu kiko autopiloted.
  6. JF Member

    JamiiForums Tanzania Kumbe Sir Alex Ferguson anazeeka na chuki na wivu wa ajabu hadi leo?

    Hupendi ukweli.
  7. JF Member

    JamiiForums Tanzania DAWASA yaanza kufunga pampu zitakazoimarisha huduma ya maji

    Dawasa miaka yote hamjawahi pata suluhu ya maji. Hapo August Hadi November tujiandae kukaa nyumba zinanuka uvundo, na rundo nguo chafu, hakuna maji. Mama ntilie waoshee maji hayo hayo kuanzia asubuhi Hadi Walifunga.
  8. JF Member

    JamiiForums Tanzania Andiko la mchekeshaji Shafii, limeniumiza sana mimi kama kijana

    Asijipe umuhimu kwenye maisha ya Binti wa Watu. Acha aolewe, mengine hayamhusu.
  9. JF Member

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Vyombo vya Ulinzi vilifanya kazi ya kutukuka Oktoba 29 kwa Taifa letu

    Siku hawa wakitolewa madarakani watakufa na stress. Wanajiamini sana.
  10. JF Member

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Mwandishi unastahiri pongezi toka corridor za Ikulu. Naamini Ikulu bado Wapenda haki wapo.
  11. JF Member

    JamiiForums Tanzania mikopo Kwa wafanyabiashara wakubwa

    Hii ni microfinance or ni mtu binafsi? Ni on reducing balance or ?
  12. JF Member

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Alikuwa anatembelea nyota ya JPM tu huyo.
  13. JF Member

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    mujibu kwanza muleta hoja.
  14. JF Member

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Acha uongo. Rejea hotuba yake ya siku chache kabla ya uchaguzi akiagiza majeshi yajiandae. Unazani hiyo ilikuwa nini?
  15. JF Member

    JamiiForums Tanzania José Mourinho kusaini mkataba wa miaka miwili na Real Madrid

    Kwamba yeye hayuko kwenye game?
Back
Top Bottom