Recent content by JF Member

  1. JF Member

    Siku ukija kugundua kuwa wanawake ndiyo wanaokurudisha nyuma kimaendeleo, utakuwa umechelewa sana

    Mkeo mbona nae na mchepuko tu. Inatemea mnaishia je? Siku akizingua anaondoka na kila kitu. Jipende mwenyewe, kula maisha kwa kadili inavyompendeza Mungu. Wengine wanahonga michepuko kwa sababu ndio njia Yao ya kula maisha.
  2. JF Member

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Na akija afu akiwa mgonjwa akambania vile vile ? Bora tu afanye mambo mengine aachane naawazo ya mboyoyo.
  3. JF Member

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Wewe umeelewa vizuri sana. Na ngono Haina haja ya kukomoana. Hainaga makombo, na Wala utamu haubaki kwenye kichwa kikuu. Akishakauka ukeni wewe mwanamme jitahidi umwage uvae uondoke au umalize usubiri raundi nyingine.
  4. JF Member

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Shida ya ngono mkishakaua tu, mengine ni maumivu. Hata aliyetumia Viagra atalia pia.
  5. JF Member

    Bunge la Zungu: Kipindi cha kusifu na kuabudu kina muda mrefu sana

    Hili Bunge la Zungu lina mambo mengi sana. Ila kipindi cha kusifu na kuabudu ni kirefu sana. Mjitafakari sana.
  6. JF Member

    Rais Samia Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, 2026

    Wanamchomekea kwenye sheria mara mahakama, afu yeye hata haelewi umhimu wa sheria. Si waachane nae?
  7. JF Member

    Butiku: Sijui Polepole alipo, ingawa aliniaga

    Huyu wananchi wakimsalimia vizuri atasema nani kamkamata Polepole.
  8. JF Member

    Butiku: Mwenzetu anaburuzwa kwenye basi, tunabung’aa tu, hatusemi anapelekwa wapi?

    Mzee achague upande mmoja sasa. Huwezi tumikia mabwana wawili. Wote watakukataa.
  9. JF Member

    Magufuli hakuwa rafiki mzuri ndiyo maana familia wapweke

    Kwa hiyo ulitaka marafiki wawe wapi na wafanye nini kwenye hiyo familia?
  10. JF Member

    Magufuli hakuwa rafiki mzuri ndiyo maana familia wapweke

    Sijui ulikuwa unaandika nini hapa. Familia ya Magufuli imetengwa kivipi huku Mtoto wake ni mbuge
  11. JF Member

    Makosa ya Rais Samia kwenye Baraza la Mawaziri

    Anamaanisha yule mme wake. Balozi.
  12. JF Member

    Ipigwe mechi ya mpira kati ya Wakatoliki na Wasabato ili kuleta mshikamano

    Ila wewe. Wasabato na Wakatoliki mbona hakuna mgogoro wowote? Au Kuna mgogoro umeunusa sehemu Hadi uombe mechi ya kuleta mshikamano?
  13. JF Member

    Nyayo za Lucy hizi hapa zimejaa mbigili

    Nchi inajiendesha hii. Sema viongozi wetu wana akili za mwaka 1900. Hawajui hizi ni zama za ukweli na uwazi. Internet itawaumbua sana.
Back
Top Bottom