Recent content by JF Member

  1. JF Member

    We need a president to president the president.......

    Hahaha.. hii imekaaje Sasa? Mwingine awe wa kuteuliwa afu mwingine achaguliwe?
  2. JF Member

    Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

    Watu wapewe hela.
  3. JF Member

    Kwanini Paul Makonda anautafuta wokovu sasa kwani ametenda dhambi gani inayomtafuna?

    Unahisi uko sawa hadi hapo? Unatumia JF kwa kukashifu watu
  4. JF Member

    Familia ya Hayati Magufuli: Tumeacha muda ujibu, hatutajibu mtu yeyote

    Huu Uzi unafikirish sana. RIP JPM
  5. JF Member

    Wajuzi wa location, Huu ni mtaa wa wapi?

    Kwa madiba.
  6. JF Member

    Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

    Chizi mwenyewe. Unazani kwa Nini kuna vyama vingi na mashirika mbalimbali? Na yote yanakula Kodi zetu? . Kama hayafanyi kazi zetu basi yajifunge.
  7. JF Member

    Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

    Hata kipindi cha Ulimboka hakuwepo. Kimsingi siku hizi watu wanauwawa kwa wingi sana, ila wa kupaza sauti ndio hao walio lamba asali.
  8. JF Member

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Hadi 2025 iiishe na Bi Tozo kirudi kizimkazi, tutaona mengi sana. Bi Kizimkazi anapitia mengi magumu, anazungukwa bila kujua.
  9. JF Member

    Kwa dalili hizi Ninahisi nina maambukizi ya VVU

    Bado unahitaji ushauri? Naona tuishie hapa. Ukimaliza kupima uje tukushauri zaidi. Usiache kutumia Kinga kizembe zembe namna hiyo.
  10. JF Member

    Mzee Hashim Rungwe: Makonda anataka awe chawa mkuu wa Rais Samia, analazimisha asikilizwe yeye sana

    Hivi nchi hii kuna mtu hamjui Makonda kweli? Hahahahah.. balaa.
  11. JF Member

    Tatizo la Moyo kwa mke mtarajiwa

    Shauriana nae kwanza haya mambo yote. Afu, check kama hilo tatizo linatibika. Consult physician. Usijeona afu ukamtesa mtoto wa watu kwenye ndoa.
Back
Top Bottom