Recent content by JF Member

  1. JF Member

    JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii: Simba Anashinda Leo!

    Kumbe Tanga napo Kuna mwamba!?
  2. JF Member

    JamiiForums Tanzania Sheikh anatoa ya rohoni, kuhusu yanayojiri Tanzania na yatakayotokea. Kuna msiba wa mzito utatokea ASAP

    Huyu nae. Hii tabiri ni ya 2025 ama ni ya sasa?. Kama ni ya sasa basi ni uongo maana Samia hatagombea tena.
  3. JF Member

    JamiiForums Tanzania Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

    Ahasiwe afu awe masikini. Akiwa tajiri anaweza akanunu uumbe.
  4. JF Member

    JamiiForums Tanzania Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

    KIXI Asante kwa bandiko. Sasa Ongeza juhudi maana unaukaribia ukweli. Kanisani kwako hujifunzi vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana. Siku ukivisoma hivi vitabu utachanganyikiwa kwanza. Na ukishachanganyingiwa, Sasa msome Ellen White ndipo utakapo muelewa na hivyo vitabu viwili utavielewa...
  5. JF Member

    JamiiForums Tanzania JKCI yajibu hoja kuhusu utendaji wa uongozi wa taasisi hiyo, yasema Sheria, Kanuni na Taratibu vinazingatiwa

    Siku zote nimeku nikijiuliza iwapo hii ni taasisi ya serikali. Sijawahi pata jibu.
  6. JF Member

    JamiiForums Tanzania Vijana BAVICHA Pwani wamtaka John Heche apishe uchunguzi

    Wakati CHAMA kimefungiwa kufanya kazi vijana kama hawa walikuwa kimya. Sasa kimefunguliwa na pesa zimeana kuingia basi Vijana wametaka hela. Vijana wa namna hii hawafai katika uongozi. Mwisho anaomba SAMIA - mtukufu.. hapa kalipia tangazo kwa kumtaja mdhamini.
  7. JF Member

    JamiiForums Tanzania Gen Z wamepinda, cheka kidogo

    Hahahhahahahahaahahahahahaahaaaaaahahahhah. Waandishi wa Habari makofi jamanii
  8. JF Member

    JamiiForums Tanzania Marathon ya Millioni 334 ya CHADEMA, sijui kama CCM wanaelewa logic yake

    Hizo ndizo zinatoka kwa wapiga kura haswa. Za ccm hutoka kwa mabwanyenye abao hawaendi hata kwenye mikutano ya kampeni.
  9. JF Member

    JamiiForums Tanzania Binafsi naunga mkono jinsi Dudu Baya alivyofunga shoo ya miaka 30 ya Bongo Fleva

    Wamemtoa sauti? Mbona sisikii.
  10. JF Member

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wafanyakazi 50 Kiwandani- Kibaha

    Kumbe wanaajiliwa wenye shida? Hapo hakuna kazi .
Back
Top Bottom