Recent content by JF Member

  1. JF Member

    Kwa MaProfesa wanao Musunguka Samia

    Hawa MaProfesa ninao waona kwenye uwaziri na Wengine mulioko hapo Ikulu. Hamuna uwezo wa kuanzisha darasa kwa Samia Ili mumusaidie walau ajue uongozi? Mbona mmemuacha tu kila siku yeye ni kuchamba tu anao eaongoza, anataka aonekane yeye hakosei? Yeye ndio anaamua watanzania waishi vipi...
  2. JF Member

    CCM Sasa kimefika mwisho

    CCM imeshafika mwisho wa kubeba agenda za wananchi. Hata ikiwafunga CCM wote, wanaCCM watapaza sauti.
  3. JF Member

    Leo nawapa ukweli wote

    Kwamba nchi muachiwe wewe na Samia mjilie kiulaini? Nchi sio Mali yenu. Wacha watu waipambanie.
  4. JF Member

    CCM Sasa kimefika mwisho

    Ukiachana tu na wasaka vyeo na pesa, CCM kwa Sasa Haina mwanachama anae jivunia hiki chama. Inabidi tu kizikwe kizaliwe upya. Na wajiandae tu vizuri Wala wasiwe na papala. Hakuna ivumuyo milele hapa Duniani. Hata Dunia yenyewe haidumu milele.
  5. JF Member

    Safi sana Rais Samia, endelea kuwachezesha haters wako kalinyambariga hivyo hivyo

    Mtu anavua nguo barabarani, badala ya kumpeleka mirembe wewe unamshangilia. Uchawa kazi mbovu sana.
  6. JF Member

    Mrithi wa Lukuvi ni huyu hapa...

    Baada ya msiba wa Lukuvi, lazima atateuliwa mtu wa kurithi kiti chake. Na kwa maneno ya Rais naona Biteko ama Nape akipewa nafasi hiyo. Japokuwa Nape amemeza bendera ya chama, hajali kabisa vyama vingine.
  7. JF Member

    Kwanini 'Wachapakazi Hodari' wanaishia kuwa punda wa ofisi, Huku 'Wambea' Wakipanda Vyeo?

    Niliwahi kukosa nafasi kubwa Hadi ofisi nzima wakasikitika, kwa nini sikupewa Mimi. Baada huyo aliyepandishwa na kuwa bosi wangu ndio huyohuyo tena akawa anakuja kuniomba nisaidie kazi. Shida nikagundua Mimi niliwekeza sana kwa watu wa chini, juu nikawa nafanya professional works. Nimegundua...
  8. JF Member

    Siku ukija kugundua kuwa wanawake ndiyo wanaokurudisha nyuma kimaendeleo, utakuwa umechelewa sana

    Mkeo mbona nae na mchepuko tu. Inatemea mnaishia je? Siku akizingua anaondoka na kila kitu. Jipende mwenyewe, kula maisha kwa kadili inavyompendeza Mungu. Wengine wanahonga michepuko kwa sababu ndio njia Yao ya kula maisha.
  9. JF Member

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Na akija afu akiwa mgonjwa akambania vile vile ? Bora tu afanye mambo mengine aachane naawazo ya mboyoyo.
  10. JF Member

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Wewe umeelewa vizuri sana. Na ngono Haina haja ya kukomoana. Hainaga makombo, na Wala utamu haubaki kwenye kichwa kikuu. Akishakauka ukeni wewe mwanamme jitahidi umwage uvae uondoke au umalize usubiri raundi nyingine.
  11. JF Member

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Shida ya ngono mkishakaua tu, mengine ni maumivu. Hata aliyetumia Viagra atalia pia.
  12. JF Member

    Bunge la Zungu: Kipindi cha kusifu na kuabudu kina muda mrefu sana

    Hili Bunge la Zungu lina mambo mengi sana. Ila kipindi cha kusifu na kuabudu ni kirefu sana. Mjitafakari sana.
Back
Top Bottom