Hawa MaProfesa ninao waona kwenye uwaziri na Wengine mulioko hapo Ikulu.
Hamuna uwezo wa kuanzisha darasa kwa Samia Ili mumusaidie walau ajue uongozi?
Mbona mmemuacha tu kila siku yeye ni kuchamba tu anao eaongoza, anataka aonekane yeye hakosei? Yeye ndio anaamua watanzania waishi vipi...
Ukiachana tu na wasaka vyeo na pesa, CCM kwa Sasa Haina mwanachama anae jivunia hiki chama.
Inabidi tu kizikwe kizaliwe upya. Na wajiandae tu vizuri Wala wasiwe na papala.
Hakuna ivumuyo milele hapa Duniani. Hata Dunia yenyewe haidumu milele.
Baada ya msiba wa Lukuvi, lazima atateuliwa mtu wa kurithi kiti chake.
Na kwa maneno ya Rais naona Biteko ama Nape akipewa nafasi hiyo.
Japokuwa Nape amemeza bendera ya chama, hajali kabisa vyama vingine.
Niliwahi kukosa nafasi kubwa Hadi ofisi nzima wakasikitika, kwa nini sikupewa Mimi. Baada huyo aliyepandishwa na kuwa bosi wangu ndio huyohuyo tena akawa anakuja kuniomba nisaidie kazi.
Shida nikagundua Mimi niliwekeza sana kwa watu wa chini, juu nikawa nafanya professional works. Nimegundua...
Mkeo mbona nae na mchepuko tu.
Inatemea mnaishia je? Siku akizingua anaondoka na kila kitu.
Jipende mwenyewe, kula maisha kwa kadili inavyompendeza Mungu.
Wengine wanahonga michepuko kwa sababu ndio njia Yao ya kula maisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.