Recent content by JF Member

  1. JF Member

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Makamu wa Rais mpya, Mhe. Deogratius Ndejembi - safari yako inaanza, haya ni maoni yangu

    Huyu kazi yake ni mazingira tu. Mengine asubiri kuagizwa.
  2. JF Member

    JamiiForums Tanzania Kwa mchanganyiko huu kama umeshindwa kukunenepesha basi wewe basi

    Kwa huo munyoo lazima unenepe.
  3. JF Member

    JamiiForums Tanzania Natafuta hiki kifaa (tp Link) hapa Tanzania. Nitakipata wapi?

  4. JF Member

    JamiiForums Tanzania Hi Kama Nchi tunajisikia je pale mwenzwetu mmoja tu anapopotea?

    Mwanadamu ni zaidi ya mnyama.
  5. JF Member

    JamiiForums Tanzania CDF Mkunda: JWTZ ni Jeshi lao Wananchi, waendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lao

    Kwa kweli Mkunda ulikosea sana kuruhusu Wana nchi wakauwawa tena majumbani mwao. Ulikuwa na uwezo wa kuzuia hizo gasia tena kwa nyimbo tu. Raia wote wangeandamana kwa kuomba nyimbo na Wala wasingechoma moto Mali yoyote. Ulitukosea tuombe radhi yaishe.
  6. JF Member

    JamiiForums Tanzania Habari, gari kama hii naipata wapi kwa hapa bongo au hata kuagiza 0 km

    Imetumia gia kubwa kwenye kitonga. Kifupi hatongozwi hivyo
  7. JF Member

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili.

    Huna future nae tu. Mbona ungetoka om saa kumi Ili ukamdrop Kisha uende kazini?
  8. JF Member

    JamiiForums Tanzania Hi Kama Nchi tunajisikia je pale mwenzwetu mmoja tu anapopotea?

    Nimekaa leo nikawaza sana tu. From no where mwenzetu anapotea na hatumuoni tena na watuhumiwa wapo na tunaendelea kukaa nao. Hii imekaaje wadau? Tuwaambie waache kututeka ama tukatae kushirikiana nao?
  9. JF Member

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    Kwa hiyo kudai haja zetu ni matusi? Jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!
  10. JF Member

    JamiiForums Tanzania Mapya yaibuka, Mali za Gertrude Rwakatare. Watoto wake waingia kwenye mgogoro mzito

    Wacha nile tumilion twangu
  11. JF Member

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ishengoma: Maandamano ya Oktoba 29 "Sisi tulichokifanya yalikuwa ni mapinduzi. Ushahidi ninao

    Huyu kijana ni janga kwa taifa. Walitaka kufanya mapinduzi afu nani achukue madaraka? Walimuandaa nani.
  12. JF Member

    JamiiForums Tanzania JamiiAi new features: Mdau toa asilimia hapo ubora wa picha unauonaje ?

    Hakuna kitu kama hicho. Ajira gani hizo? AI haiwezi kulima Wala kuchunga.. twenzetu shambani.
  13. JF Member

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Pumzi ilimshuka kama kakimbizwa na zimwi kwenye ndoto.
Back
Top Bottom