KIXI Asante kwa bandiko. Sasa Ongeza juhudi maana unaukaribia ukweli.
Kanisani kwako hujifunzi vitabu vya Daniel na Ufunuo wa Yohana.
Siku ukivisoma hivi vitabu utachanganyikiwa kwanza. Na ukishachanganyingiwa, Sasa msome Ellen White ndipo utakapo muelewa na hivyo vitabu viwili utavielewa...
Wakati CHAMA kimefungiwa kufanya kazi vijana kama hawa walikuwa kimya.
Sasa kimefunguliwa na pesa zimeana kuingia basi Vijana wametaka hela.
Vijana wa namna hii hawafai katika uongozi.
Mwisho anaomba SAMIA - mtukufu.. hapa kalipia tangazo kwa kumtaja mdhamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.