Kwa kweli Mkunda ulikosea sana kuruhusu Wana nchi wakauwawa tena majumbani mwao.
Ulikuwa na uwezo wa kuzuia hizo gasia tena kwa nyimbo tu. Raia wote wangeandamana kwa kuomba nyimbo na Wala wasingechoma moto Mali yoyote.
Ulitukosea tuombe radhi yaishe.
Nimekaa leo nikawaza sana tu.
From no where mwenzetu anapotea na hatumuoni tena na watuhumiwa wapo na tunaendelea kukaa nao.
Hii imekaaje wadau? Tuwaambie waache kututeka ama tukatae kushirikiana nao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.