Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

Kuwa ng'ombe uje uhasiwe utusaidie kuongeza mavuno huku shambani manake hata mavi yako yatakuwa faida na ukikaribia kufa tunakuchinja ugeuke kitoweo kwa jamii mataqo yako!!!
 
Huyo hajaleft group bali alizaliwa mwanamke toka enzi na enzi kwa vile Jf ni uwanja wa fujo anajifanya kuwa mwanaume kwa kivuli cha kataa ndoa bila sababu za msingishano
 
Ninachukia sana nataman tu nihasiwe nipoteze nguvu za kiume.nisiwe na hisia za mapenz niwe hakuna.
Kuna siku moja zamani nilimwambia hivyo Bi mkubwa akacheka. Ila siku nilipoambiwa ma daktari kama naridhia kuondoa prostate yote kwa kisu nilikataa. Hivyo isiombe hicho kitu bwashee
 
Ninachukia sana nataman tu nihasiwe nipoteze nguvu za kiume.nisiwe na hisia za mapenz niwe hakuna.
Ili uweze kufanya kazi ya Mungu vizuri. Hutafikiria wanawake ila unaenda kinyume na uhalisia. You are against nature.
 
Back
Top Bottom