Hahahahah ama kweli mtu aliyepita tosamaganga ana mengi aliyojifunza kutokana na life style ya pale.
>Kipindi cha mitihani halafu ikutwe mvua inanyesha huwa ni balaa ngazi za kule jikoni kwani ni mtiti mbaya zaid ukute ni kitu cha nyalii...hahhaha
>Mgomo wa tar 30 june 2012 hii nayo sitasahau...
Nimesoma maoni ya wengi humu,kwa upande wangu mimi sidhani kama kufunga geti ndio suluhisho la matatizo. Ili pawepo na ufanisi mzuri katika idara mbalimbali au ofisi ni vyema viongozi wa juu wakakaa na wale walio chini yao kisha kupanga mikakati ni kwa namna gani watatekeleza majukumu na kufikia...
Hivi nini maana ya kuwa na watu katika vitengo vya vyema na wakasema wana elimu juu ya uchumi na wakati huo uchumi wa taifa lao unashuka. BOT inahusika na kutengeneza sera ambazo zitasaidia mzunguko wa sarafu yetu ili kuhakikisha kuwa inabaki kwenye hali nzuri badala ya kupanda au kushuka sana...
Sidhan vitendo kama hivyo vinaleta heshima katika jamii au kwamba uonekane wewe jasiri sana na unajiamin. Na bado mtu anayefanya hivyo hana dira yoyote ya maisha,ni bora kupambana kutafuta maisha na kupambana kwenye mambo ya ugomvi ambayo hayana masilahi yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.