shule ipo sumbawanga.. ni kijijini, usitegemee mwalimu ni juhudi zako tu kujisomea.
kitaaluma iko chini saaana.
mahitaji nadhani yatakuwa ya kawaida tu.. counter books angalau tano,ada 70000, michango mingine 30000,
godoro na vitu vingine tu kwa ajili ya boarding au ghetto life.