Recent content by Jeny faraji

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ipo siku Clouds FM itawapigia magoti WCB kukubali yaishe

    Kweli tena wanaoteseka sana ni kina soudy wa shilawadu maana ubuyu ote wa moto moto uko WCB
  2. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi tanzania kuna Hackers??

    Nahitaji namimi kufundishwa jinsi ya kuhack [emoji6][emoji6]
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi tanzania kuna Hackers??

    Kama kuna hacker professional ani pm pls nashida anisaidie.kitu
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume ifikie hatua muwe na moyo wa kibinadamu jamani

    Shoga wanaume ni kuwaomba hela tu, yaani penda pochi ukimpenda yeye utaumia! Na kama hakupi hela ww fatilia ujue nani anaempa hela, lazima atakuwepo tu anayepewa! Ukishamjua usipanic, ww tafta new line afu ujifanye yule mwanamke anaempa hela, akishaingia kweny line tu ww mpige pesa ya maana...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu au kampuni gani nzuri ya kufanyia field kwa Mkoa wa tabora?

    Nimesoma business administration
  6. J

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu au kampuni gani nzuri ya kufanyia field kwa Mkoa wa tabora?

    Habari zenu jf! Mimi ni mhitimu wa chuo nimesoma business administration je ni sehem gani nzuri naweza fanya field kwa mkoa wa tabora?
  7. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki ambae amesoma I. T vizuri especially kwenye software

    Ni pm nikupe namb tuwasiliane kwa simu
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki ambae amesoma I. T vizuri especially kwenye software

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana sio assignment ni mambo tu mengne mengne ila sihitaji kila mtu ayajue
  9. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki ambae amesoma I. T vizuri especially kwenye software

    Oky
  10. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki ambae amesoma I. T vizuri especially kwenye software

    Ntaelewa ndio
  11. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki ambae amesoma I. T vizuri especially kwenye software

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye cm
  12. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki ambae amesoma I. T vizuri especially kwenye software

    Habari wana jf natafuta rafiki ambaye amesoma I. T vizuri especially kwenye mambo ya software kuna mambo nataka anielekeze, so kama una ujuzi huo ni pm
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kuangalia Matangazo online kwa malipo

    Mim nakwambia hao viewing payed advertising sites acmoney. bid-welcome ni uongo mtupuuu utalia nakwambia na utapoteza mda wako, hakuna pesa ya rahisi hivo nina experience nao hao, acha mara moja
  14. J

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Me naomba amzisheni group la ufugaji wa ngurue la whatsapp ili tuwe tunapeana ujuzi zaidi
Back
Top Bottom