Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,351
- 3,295
Kuna njia za kutupata ila sio kirahisi namna hiiKwa hacker yeyote professional naomba msaada wako, naomba unipm nashida
Kuna njia za kutupata ila sio kirahisi namna hiiKwa hacker yeyote professional naomba msaada wako, naomba unipm nashida
Ha ha ha ha ha kama instagwam vileKwa hacker yeyote professional naomba msaada wako, naomba unipm nashida
HAKUNA WALICHUKULIWA VIJANA WACHACHE WAKAPELEKWA INDIA NA TRA LAKINI WALE WALISOMA CEH YA KAWAIDA JAPO WANAJITAHIDI KIDOGO LAKINI HAKUNA HACKERS TULIOBAKI TUNAGANGA NJAA TU KURESET PASSWORD AMA KUDELETE DATABASE UNAJIITA HACKER VERY FEKENNaomba niulize jamani hivi hapa Tanzania kuna hackers kweli au ni wale script kiddies.? Nashindwa kuelewa jamani...
Nawezaje kujikinga na ddos attacks kwenue website yangu?Tupo unasemaje kwani?
Aliekwambia hacking is a cyber crime nani? umekariri mkuu. Kuna ethical hacking na unethical hacking.wapo mkuu na watu wanapiga pesa
hakuna hacker mjinga atakae jitangaza kiajabu ajabu kuwa yeye n hacker
hacking n cyber crime mkuu au
Hivi ulimpata! Na Mimi nina shida kama yako!Kwa hacker yeyote professional naomba msaada wako, naomba unipm nashida
Mbona Jf ilihakiwa wakati wa uchaguzi 2015.Tulipata tabu Sana