Jeny faraji
Senior Member
- Jan 20, 2018
- 164
- 34
Habari zenu jf! Mimi ni mhitimu wa chuo nimesoma business administration je ni sehem gani nzuri naweza fanya field kwa mkoa wa tabora?
Umesoma niniHabari zenu jf! Mimi ni mhitimu wa chuo je ni sehem gani nzuri naweza fanya field kwa mkoa wa tabora?
Business administrationUmesoma nini
Nimesoma business administrationEleza vizuri una utalam wa nini