kweli mawaziri wetu ni vilaza,unachaguliwa uwaziri unafanya sherehe?umepewa kazi ngumu sio ulaji huo!unavyo sema marekani inakutaka uwe raisi unamaana gani!marekani ndo wApiga kura wa tz?je na siku wakikuambia uwe shoga utakuwa?
manangu nilijua ni mm mweyewe nimeliona.tena na mbele vipo kwenye weipa vimefungwa.hawa jamaa ni wachawi kweli mm kamwe toka nimejua hilo sipandagi tena hayo magari,na jua muda wowote mnaweza tolewa kafara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.