Hahahaha unamwambia ata mimi leo najiskia kuchoka kumbe unataka sana ila no ubishi
Wengi sana husemaga hivo!! hiyo AK47 huwa inakichaa kwa yule abebaye lazima akuanzie wa usoni kwanza!!Ila naweza kuamini Mr Rocky anamuweza
Ze rocky.... wale "ke" wazamani.... !! siku hizi wapo FIGHTERs !!Zamiluni Zamiluni unavaa uso wa mbuzi hakuna kucheka na mwanamke anajulikana mafhaifu yake yako wapi pamoja na hiyo AK 47 bado kuna sehem ataingia kwenye kuni na nane ataiweka mezani huku anacheka utafiti pamoja sana mkuu
Ze rocky.... wale "ke" wazamani.... !! siku hizi wapo FIGHTERs !!
Duuuh Mkuu hapo mumemaliza... lakini rare kupata vitu au silaha zote hizo.... nafikiri ukiwa navyo hupeleki.. Wao watakuja kusimama foleni kama mlolongo wa magari pale mujini karikakoo!!Mhhh naona wa siku hizi ndo balaa kwa kulegea Zamiluni Zamiluni ukiweka wallet inacheua na funguo za gari mezani na ukimtoa na kumpela serena kwa lunch na Kempisky kwa dinner na ukiwa na mgegedo wa haja na ukijua kuutumia hiyo bunduki atakuwa aieiachasebuleni wakati wewe uko chumbani unafanya mambo
Duuuh Mkuu hapo mumemaliza... lakini rare kupata vitu au silaha zote hizo.... nafikiri ukiwa navyo hupeleki.. Wao watakuja kusimama foleni kama mlolongo wa magari pale mujini karikakoo!!
Anapatikana wapi huyu?maana nina shida nae kinoma.