Sio Ukraine sema NATO akafaulu kuivunja ngome ya URUSSI kwani nani asiye jua kwmba ukraine inatumika tu kama fighting ground kule zina chapwa kati ya NATO na MRUSI na nilazma Mrussi awashinde hao mashoga wa nato walio vurugwa matako
Kuna kipndi fulani nilimuona putin akiwa kifua wazi.....
Mimi kwngu Rais puttin is my best friend baada ya mwamba wa Chato kututoka..mbali na hao wawili huwa pia namkubali sana mwamba yule wa korea kazkazni..to me the hair style don't matter that much hata kama angekua na rasi ilimradi tu ana...
Ni ukweli mkuu hamna nchi iliyo njengwa na wazawa tu.Angalia nchi kma kenya inamchangayiko wa watu kutoka nhi nyingi dunia ndio maana wanaonekana kuongoza ukandaa huu wa afrika mashrki kielimu,kiuchumi na kimaendeleo.....Bba wa taifa zamani hakuwapenda wageni ndio maana tumeachwa nyuma kimaendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.