Wataalam Mnielimishe kuhusu Wagner Vs POLAND

Wataalam Mnielimishe kuhusu Wagner Vs POLAND

Hahahah😄😄😄😄😄 you guys bhana huwa mnanifurahishaga sana kwa jinsi mnavyojifariji na US yenu ....ila naomba nikuulize hivi Japan au Germany wana Air defence system ya zenye uwezo wa kushinda za Russia???? Yani wewe kwa akili yako unaamini US inaweza kuipiga Russia kirahisi tu kama inavyopigana na akina Sadam na Taliban??..kwamba wanaeeza kudominate Air just like that?? ....hicho kigezo chako cha kusema Russia anashindwa kudominate Air hapo Ukraine unajua kinachoendelea sema huwa mnajitoa ufahamu ili kulinda hoja zenu hivi nani hajui kuwa Russia inapigana proxy war na Nato hapo Ukraine???? A bunch of Countries zinazotoa kila aina ya weapon na bado wameshindwa na silaha zao zinalipuliwa kila siku ...walichoweza ni kuchelewesha tu ushindi..Na isitoshe Russia haijatangaza vita na Ukraine iko kwenye special operation itakapofikia hatua ya kutangaza vita approach haitakua hii unayoiona..
Yani hapo unajibizana na ng'ombe tu mkuu bora umwache abwatuke mwisho atakutana na ushindi wa Warusi dhidi ya nato
 
Ni vita dhidi ya wagner, hicho ni kikosi cha jeshi cha kukodiwa hata wewe unaweza kuwakodi ili ukawalipue wale wote wanaotaka kuuza bandari yetu.
Ni vita dhidi ya wagner, hicho ni kikosi cha jeshi cha kukodiwa hata wewe unaweza kuwakodi ili ukawalipue wale wote wanaotaka kuuza bandari yetu.
Duh...hahahaha...dah..Unazungumzia "wanaotaka kuuza bandari yetu" ?! Kwani bandari yetu 'inauzwa' Mara ngapi!? Hiyo imeenda....Hujasikia clip mitandaoni baadhi ya viongozi was chama wakisema DP World oyeeee na wengine wakisema bila hata aibu Waarabu oyee?! Yaani kiongozi wa Chama anasimama jukwaani na kusema: Waarabu oyee!!!
Yaani, ....hata mkipiga kelele namna gani, bandari imeenda...Waarabu oyee....
 
Back
Top Bottom