Recent content by Jeismyl

  1. Jeismyl

    Naombeni ushauri wenu, Mpenzi wangu amekutwa na maambukizi ya VVU

    Kwanza pole kwa yaliyo wakuta. Pili "Umezini" ummekua mkivunja Amri ya sita ya Mungu. Hivyo basi. Kwanza wote wewe na yeye Muombe toba kwa Mungu kwa Dhambi mliyokua mkitenda "uzinzi" huu ni wakati wenu kumrudia Mungu. Tafuteni kanisa lakiroho "MUOKOKE" mumpokee Bwana Yesu Kuwa Bwana na mwokozi...
  2. Jeismyl

    Hatimaye messi aivunja record ya telmo zara ,mfungaji magoli mengi la liga

    Messi the Magician. . He is the best in the world
  3. Jeismyl

    Naombeni Ushauri: Je, huyu kijana bado ananipenda?

    Sorry kama itakuwa inakuumiza bt the truth is. Huyo jamaa hakupendi na inatokea unakuta unampenda mtu bt he doesn't love you back. Huyo sio ubavu wako. Japo ni ngumu sana kwa mtu unaempenda bt I advice you. Achana nae kabisaaaa. Akili yako ifocuse kwny mambo mengine especially maisha. Usitafute...
  4. Jeismyl

    Tanzania hakuishi vituko

    Kweli kabisa hapo umenena. Hata hvyo nimegundua Viongozi wetu karibia wote wanamapepo haswa CCM wote wako kama wamechanganyikiwa maamuzi wanayofanya niya kitoto yaani huwezi kuamini kweli maamuzi haya amefanya mtu mwenye akili timamu au Tahira. Hao ndio Viongozi wetu. Halafu unadiriki kujiita...
  5. Jeismyl

    Viongozi wa dini wapuuzieni CCM - kuombea amani

    Huku ni kuchanyikiwa na sindhani kama nikiita ni wendawazimu ntakuwa nimekosea.. unajua kwa mtazamo wangu nilikua na waza kwamba Kikwete kafanya mambo mengi yakipuuzi sana katika nchi hii na amekuwa na wananchi asilimia kubwa walishamchoka na kuona kuwa hawez kuongoza na nchi hii ilishamshondwa...
  6. Jeismyl

    Ushauri wako ni muhimu hapa

    Nenda chuo hayo mengine muombe Mungu coz nina uhakika hukuchaguliwa chuo kwa bahati mbaya Mungu anamakusudi na Maisha yako na ndio maana akasaidia ukachaguliwa chuo. Mtegemee sana Mungu na ung'ang'anenae haswa maana kwenye bible anasema atakaenitafuta kwa BIDII ataniona. Don give up fanya...
  7. Jeismyl

    Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

    Huu ni Uongo Mtupu.
  8. Jeismyl

    Ndoa ngumu jamani

    Huyo rafiki ako anakiburi sana.. leo elimu ni bora kuliko mume kweli.. inatakiwa ifike kipindi aishi kama matured person mbona ana behave kama mtoto wa secondary? Nawe unaona nani aba makosa? Maana unataka sasa kuekekea upande mmoja kwasababu unamwambia avumilie ye alikwambia anateswa? Au kwa...
  9. Jeismyl

    Wajumbe waliopiga kura ya HAPANA wakimbia vitisho Dodoma na kurudi makwao

    Kitu ccm inachofanya si sahihi hata kidogo wanataka watulatie katiba yenye misingi ya chama chao.. wanajifanya wao ndio wenye akili aana kuliko watanzania wote. So amazing!! Ngoja tuone kama wao ndio wenye akili au wananchi.. wanafikir hii ni Tanganyika ya 1961 ambapo wasomi walkua wachache...
  10. Jeismyl

    CHADEMA si chama cha kubeza, na UKAWA si umoja wa kubeza pia

    Mungu atusaidie sana.. "Never push a loyal people up to the point they no longer give a damn"
  11. Jeismyl

    Wassira: Urais si mama mkwe

    Mi naona yuko juu ya jiwe kama mjusi
  12. Jeismyl

    CHADEMA wamepata walichokuwa wanakitafuta ndani ya UKAWA?

    Wewe ndio janga la taifa.. umaskini umeletwa na CCM miaka yote madarakani nini walichofanya? Bcoz walkua hawana watu wakuwa uliza sio? Leo kapatikana wakumuuliza kwa faida yako bado unamuaona hafai.. mbona unakuwa hutumii akili? Chadema anamiliki Jeshi? Wanaovunja watu miguu si CCM kwakua wapo...
  13. Jeismyl

    CHADEMA wamepata walichokuwa wanakitafuta ndani ya UKAWA?

    Dada angu mbona hilo suala la dollar 700 limekukaba sana mpaka huku? Sisi tulioandamana tusilalamike uje kulala mika wewe ulipata update tu? Fanya kazi nawe upate zako sio wivu aina hyo.. yani hapa ndio naona tofaut kati ya mwanaume na mwanamke hata kimawazo.. pointless
  14. Jeismyl

    Ni sahihi kwa Mbowe kulala Hotel ya Dola 700 kwa siku huku wafuasi wake wakishindia Mikate na Maji?

    We dem Vip? Mbona dola 700 haina thamani ya hadhi ya Mbowe? Ujibiwe sali lipi? Mbona unakuwa mshabiki funguka akili!! Kwanza umeishi darasa la ngapi? Maana kichwa chako kizito kuelewa mada zakipumbavu unaleta.. unatokwa povu na pesa za mbowe ulitaka utumwe wewe Sauzi? Shoga wewe
Back
Top Bottom