Wewe mbona unalalamika hivyo, umeingiliwa na nini sehemu ya mwili wako? Kama inauma vumilia ndio ukubwa huo.Hivi nchi hii imelaaniwa na nani kiasi dha huyu mdudu naye kutamani kutuongoza! Hii ni laana si bure! hajitizami hata kwenye mirrors zote ? kiroho ni jinamizi na kimaumbile ni dubwana lisilofaa hata kitoweo
Pyuuu!! Kama bata kanya.CCM nitairejesha kadi yangu na kumpa mzee Mangula kwani ninwazi ameshindwa kazi ya chama chetu. Nchi hii imel3ta mauzauza ila si kwa huyu msrma hovyo, mjivuni na mwenye kujikombakomba hovyo. Musoma kama mnadhani kurejea Ikulu ni mchezo wahadaeni CCM walete jina la huyu Corrupted politician, Msaga sumu, adui wa afya ya demokrasia nchini
Wewe mbona unalalamika hivyo, umeingiliwa na nini sehemu ya mwili wako? Kama inauma vumilia ndio ukubwa huo.
Wassira ni kama maji usipo yanywa utayaoga kwasasa ndiye Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu-Mahusiano na Uratibu.
Haya kajinyonge sasa.
Wassira, Ikulu siyo mahala pa kuchezea bali ni mahala patakatifu.
IDARA YA HABARI MAELEZO a.k.a SHIHATA, anakesha vituo vya televisheni mpaka mate yanamkauka,na kuratibu juisi wana UKAWA wanywe,
Labda yuko juu yako anaku........Mnaweweseka sana lakini Wassira yuko juu sana.
Mnaweweseka sana lakini Wassira yuko juu sana.
Nimeyasoma maneno ya wasira katika gazeti la Mwananchi akidai urais siyo mama mkwe, nimefikria sana na nikajiona ninayo haki japo kidogo ya kumwambia mzee Wasira kuwa asiufananishe au asiulinganishe hata kidogo urais na ukwe, jibu rahisi Wasra anazeeka vibaya!
Mzee Wasira tambua ukwe kwa mama mkwe wako unakoma pale unapoachana na mwanae, ni rahisi ukamuacha mkwe na kumtafuta mkwe mwingine lakini unapewa nchi kwa kiyapo cha kuilinda katiba, ni dhamana kubwa kuliko soni za mkwe wako. Umeniudhi! binafsi kama kijana niliyekuheshimu japo niliadha kukudharau pale unapojitia pamba masikioni kwa kuunga mkono upuudhi na kuuondoa uzalendo, hakika baba angelikuwepo usingepata nafasi ya kuropoka.
Sifa za kuwa rais wa nchi ni zaidi ukwe, mzee Wasira tambua uwezo wa kuongoza una kikomo na sasa inaonyesha dhahili umegota. Binafsi kama mwana Mara na mtanzania najua dhamani na heshima ya mkoa wangu kwa Tanzania, MARA imewatoa viongozi makinia na imara kuanzia raisi, wakuu wa majeshi nk.
Baba alisema huwezi kupewa mawazo na mke wako kesho ukayaleta kuwa mawazo ya watanzani, mzee Wasira tunaomba usitualimbie sifa za mkoa wa Mara. Stafu bado ukiwa na sifa zako chache zilizobaki, kwa mambo yako ya kijinga hutakiwi hata kuonekana mwitongo! Umetuudhi sana.
Unatumiaje nukuu za mwalimu kujenga hoja zako! mwl akiwepo uliikimbia CCM leo hii unajigamba kwa maneno ya mwalimu! Au ni mwalimu yupi unayemnukuu! Au ni mwalimu wako wa Ikizu secondari na si mwalimu tunayemfahamu!
Vijana wa chadema mnawaza kikomedi komedi, hii nayo hoja imeandikwa hapa, dhumuni lake msomaji acheke?Waambie aisee
Wasira ndio kiboko ya watoto, wakimuona lazima wakimbilie ndani.
Wassira yuko juu sana juu ya mbingu au juu ya mti
Vijana wa chadema mnawaza kikomedi komedi, hii nayo hoja imeandikwa hapa, dhumuni lake msomaji acheke?
Foolish.
Wewe acha kukurupuka,soma maelezo yake kwanini ilitokea hivyo kwenye gazeti la Mwananchi la jana tarehe 22/09/2014.
Mwenye habari hiyo amwekee huyu kilaza.
Kaeleza alichokua akifanya akiwa nje ya siasa sijaona alichokosea kwan we ulitaka akuambie alikua anauza viroba?
Wewe mburula tatizo sio kile alichokuwa anauza hata vingekuwa viroba bali biashara aliyokuwa anafanya kasema ilikuwa hailipi hivyo aliomba arudi kwenye siasa za ccm ambazo zinalipa!!
CCM nitairejesha kadi yangu na kumpa mzee Mangula kwani ninwazi ameshindwa kazi ya chama chetu. Nchi hii imel3ta mauzauza ila si kwa huyu msrma hovyo, mjivuni na mwenye kujikombakomba hovyo. Musoma kama mnadhani kurejea Ikulu ni mchezo wahadaeni CCM walete jina la huyu Corrupted politician, Msaga sumu, adui wa afya ya demokrasia nchini