Recent content by Jeff93

  1. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weka Booking code mkuu
  2. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwenye Treni la SGR wakuu naomba code sportybet
  3. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu edited code tafadhari, wengine hatuna ujuzi na tenis
  4. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni gani hii mkuu
  5. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Simu za bei rahisi kutoka Samsung

    Samsung a10s zina heat tofauti na a10. Hata kwenye performance a10 iko vizur zaid. Tofauti ni camera na chaji tu ila performance a10 bado iko vizuri.
  6. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Zitto muangukie Diamond akupromoti

    Hahahaha mkuu uko vizuri.
  7. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Rose Ndauka hatari sana

    Umetisha mkuu
  8. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Maisha ya vyuoni vs Maisha ya mtaani

    Samahani wakuu...hivii serikali IMEFUTA ajira au IMESITISHA ajira!!?
  9. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Ni gazeti la Uhuru pekee ndiyo lasema Bajeti ni ya ahueni

    Hahahahaha...walevi wametookwa na mapovu baada ya bajeti kutoka...Natania tuu.. Cha msingi lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa lako..
  10. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika naye yupo kwenye adhabu?

    Hawa watu wanakera sana..kazi yao kutokwa mapovu kila siku mwisho wa Siku hatuoni athari za wao kutoka bungeni. Watafute plan B maana hiyo ya kutoka bungeni kila Siku haina athari yeyote...wao wakitoka wenzao wanafanya yao..
  11. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Msaada UDOM

    UDOSO wameanza kutusaliti aiseee
  12. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Amiri Jeshi Mkuu anapokuwa mpiga kampeni?

    Umeisoma katiba mkuu
  13. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Amiri Jeshi Mkuu anapokuwa mpiga kampeni?

    Mbona haujiulizi "Inakuwaje amiri jeshi mkuu anakuwa mwenyekiti wa chama!!?"
  14. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Sikubaliani na uamuzi wa ITV kuonyesha kipindi maalumu cha Magufuli badala ya Malumbano ya Hoja

    Mlianza kuichukia TBC,mkaja star tv..Ichukieni hiyo sasa...
  15. Jeff93

    JamiiForums Tanzania Izingatiwe na UKAWA haraka sana!

    Hahahahaha..hawa jamaa hawajiamini amini kabisa yanii....jiandaeni na kilio tu
Back
Top Bottom