memory card
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 259
- 167
Wajameni nisaidieni udom 2 year tulilipa bima ila mpaka namaliza mwaka wa pili bima hatujapewa je malipo ya sasa hivi yatahusisha bima,au tutafidia ile maana ni 100000 sio ndogo.msaada naombeni wa haraka kwa anaejua