Recent content by Jeanclaude

  1. J

    Sitakaa nimuamini tena mwanamke

    Mlikuwa wote chuo? Mapenzi ya chuo huishia siku ya graduation. Pole kaka.
  2. J

    Korea Kaskazini yarusha Kombora na inadaiwa kuwa limetua katika Sayari

    Imetua kwenye sayari ya dunia? Mtoa maada unajua umbali kati ya sayari moja na nyingine katika Solar System? Km 2000? Acha utani. Chombo kikirushwa kwenda Mars, kwa mfano, kinatumia mpaka siku 180 kufika na kwa speed ya zaidi ya 60,000mph.
  3. J

    Tuhuma za mateso dhidi ya mayaya Oman, jibu la Mtanzania

    Serikali izuie kabisa vijana wetu kwenda huko. Nenda wewe mtoa mada kafanye kazi za ndani uarabuni.
  4. J

    Marekani yasitisha msaada kwa sekta ya afya Kenya

    Wanabana matumizi hao. Hela zote Trump anatumia kucheza golf Mar-a-lago.
  5. J

    Wanafunzi SUA wanakabwa na vibaka barabarani, sababu hakuna taa

    Tatizo siyo taa, tatizo ni ulegevu wenu wenyewe wanafunzi. Mnakabwa na vibaka chuoni kwenu mnakuja kumlilia Waziri? Halafu wengine mmepita JKT na mnashindwa kuwakomesha wahuni hadi wakiona kibao cha SUA wakimbie wenyewe? Jipangeni mjilinde Waziri ana kazi za kitaifa.
  6. J

    Donald Trump sacks FBI Director Comey!

    Rais wa Marekani Donald Trump amemfukuza kazi Mkurugenzi wa FBI, James Comey. Hili linakuja wakati ambapo FBI inaendesha uchunguzi kubaini kama kulikuwa na uhusiano kati ya wasaidizi wa Trump na Urusi wakati wa kampeni za mwaka jana. Urusi inatuhumiwa kuingilia uchaguzi wa Marekani kumsaidia...
  7. J

    Maonesho ya kijeshi yafanyika Urusi;Putin amesema hakuna taifa lolote linaloweza kuwashinda warusi

    Ndiyo maana Putin alimtaka Trump. Njia yeupe kujenga Usovieti mpya na Trump hana uwezo wa kumzuia Putin.
  8. J

    NECTA wagoma kubadili jina langu. Nina ushahidi wa mahakama kukana jina la cheti cha kwanza

    Umechanganyikiwa. Maelezo yako yanathibitisha NECTA walikuwa sahihi.
  9. J

    Sitaki THAAD zenu hapo: China ya foka!

    China ndiyo inastuka? Mgogoro wa Korea unatumiwa na Marekani kama kisingizio cha kuweka mitambo ya kijeshi kudhibiti ushawishi wa China Asian Pacific. Marekani ana hofu na uchina kiuchumi na kijeshi kuliko Korea Kaskazini.
  10. J

    Serikali kukodi ndege 2 na kuzirusha kwa mkupuo pamoja na anayotumia rais ni kubana matumizi

    Wasome kitabu: Genocide and Covert Operations in Africa 1993-1999.
  11. J

    Serikali kukodi ndege 2 na kuzirusha kwa mkupuo pamoja na anayotumia rais ni kubana matumizi

    Matokeo yake sote tunajua, mauaji ya kimbari. Ombwe huvutia uovu.
  12. J

    Serikali kukodi ndege 2 na kuzirusha kwa mkupuo pamoja na anayotumia rais ni kubana matumizi

    Waulize wanyarwanda na warundi madhara waliyopata baada ya tarehe 6/4/1994. Siyo kila jambo la kushabikia.
Back
Top Bottom